John mungo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2013
- 1,008
- 1,023
She!!!
Kwani ile kitu ana ngufu yake!
Acha nami nimuelese mama yeyoo aongese ngufu yake.
Kwani ile kitu ana ngufu yake!
Acha nami nimuelese mama yeyoo aongese ngufu yake.
sasa mi mbona niko fiti kama daraja la salenda
atakuwa hana nguvu za kike huyu!
Inasaidia watu ambao ni HIV positive. Labda anahisi umeshaumia. Pole zako, unaweza kufa kabla ya wakati kwa kupenda ngono.
Inasaidia watu ambao ni HIV positive. Labda anahisi umeshaumia. Pole zako, unaweza kufa kabla ya wakati kwa kupenda ngono.
Ubaya ni kwamba umeomba kushauriwa lkn unabisha tena. Inashangaza unavyojipalilia. Sasa usitafute ujiko wa kumshambulia mtu ambaye hawezi kujitetea humu jf. La sivyo mlete hapa kwny jukwaa tumsikie na yeye. Unatukera bana!
mi nina kila mbinu za kumfikisha mtoto wa kike na ndio maana ma-x bado wanalisoteas penzi langu
ila huyu , nimegundua ana matatizo yake!
Kudumu dk 45 si mchezo ujue!
Natoka hapo hoi vibaya, lkn matokeo ni ziro!
nipeni dawa ya nguvu za kike,inatakiwa aanze dozi mara moja!
nipeni dawa ya nguvu za kike,inatakiwa aanze dozi mara moja!
Ma ex wako walikufichia siri na ndo maana walisepa ila huyu muungwana kakueleza ukweli. Inawezekana unakaa dakika 45 ila amekubana tu wewe unajisifia tu. Pole kaka tafuta hiyo juisimi nina kila mbinu za kumfikisha mtoto wa kike na ndio maana ma-x bado wanalisoteas penzi langu
ila huyu , nimegundua ana matatizo yake!
Kudumu dk 45 si mchezo ujue!
Natoka hapo hoi vibaya, lkn matokeo ni ziro!
mi nina kila mbinu za kumfikisha mtoto wa kike na ndio maana ma-x bado wanalisoteas penzi langu
ila huyu , nimegundua ana matatizo yake!
Kudumu dk 45 si mchezo ujue!
Natoka hapo hoi vibaya, lkn matokeo ni ziro!
shule vipi mkuu na mtaji wako je ?
achana nae anataka umuue huyo