muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,447
- 10,007
Ukwaju huo bhana ,juice yake tamu sana...
Na juisi yakeUkwaju mbichi,mpaka mate yamenijaa!!!
Mkuu Majigo Mpenzi wako wa kike kakuona humridhishi kitandani unafika haraka kileleni wakati yeye bao hajamaliza raha yake kakupa ushauri utumie juisi ya ukwaju kwa sababu ina Vitamin b ni nzuri kwa kuongeza nguvu za kiume.
FAIDA ZA JUISI YA UKWAJU
NAMNA YA KUTENGENEZA JUISI YA UKWAJU.
Nunua ukwaju wako, ukwaju unapatikana kwa wingi sana masokoni na kwenye supermarkets. Andaa maji kwenye dishi na uoshe kidogo tuu baada ya kuuosha chukua ukwaju wako weka kwenye sufuria yenye maji ya saizi na injika jikoni uache uchemke kwa dakika 10/15 ili uuwe vijidudu
Ipua ukwaju wako jikoni na uache kwa muda upoe andaa maji yako masafi na chujio ili uweze kuchuja juice yako kwa uangalifu zaidi ili upate juice yenyewe
Weka sukari kwa kiasi unachopendelea pia ili kupunguza ukali unaweza ukaweka hiliki au vanila ili kupata taste weka juice yako kwenye fridge ili ipoe tayari kwa kunywa.
FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.
Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
Husaidia kurahisisha choo (laxative)
Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)
Mimi ninakupa Ushauri wangu ukitaka usifike kileleni mapema na uwe na nguvu ya kumfikisha mpenzi wako kileleni usile chakula masaa 6 kabla ya kufanya mapenzi na huyo mpenzi wako hutoweza kufika wewe kileleni mapema na utakuwa na nguvu za ajabu atashangaa mpenzi wako fanya uje unipe fedback.
Inaongeza nguvu za kiume mkuu
Inaongeza nguvu na akikueleza juu ya juis ya tende usikatae inaonekana nguvu zako kidogo mkuu fanya mazoezi walau mara tatu kwa wiki
Kweli Wanawake tunatofautiana sana
sababu ya kuniambia hivyo hataki kunieleza,
ila kasema sijamridhisha!
Kwa yeyote anayejua kazi ya hii jusi aniambie tafadhari...mdau wenu niko confused!!
Hawezi kukwambi utumie juice huna nguvu wewe