Faida za tunda la ukwaju

mi nikinywa nahalisha balaa
huko kuharisha ndio inasafisha. Binafsi nikiwa na gesi kama nimekula manyamanyama mfululizo then nisipate choo hata kwa siku moja naitengeneza usiku nainywa ya kutosho nzito sikilizia asubuhi nitakavyoporomosha. kama vipi natafuna mbegu tano za mlonge kama kawa ni kusafisha. Mimi kwa kweli nimezoea kusafisha tumbo langu asubuhi milango ya saa kumi na moja au kumi na mbili kila siku so siku ikipita kavu najua chakula nilicho kula hakikubalance. so najitengenezea dawa. So Ukwaju, Mlonge, Asali, Ndimu, Vitunguu swaumu, Mti wa aloe vera ni vitu ninavyopenda viwepo ndani always.
 
tembe za mlonge binafsi nazitumia ila usitafune nyingi ,tafuna moja au mbili kwa matokeo mazuri hutakereka sana ,inaondoa sumu mwilini pia naipenda
 
tembe za mlonge binafsi nazitumia ila usitafune nyingi ,tafuna moja au mbili kwa matokeo mazuri hutakereka sana ,inaondoa sumu mwilini pia naipenda

yah mlonge ni mzuri japo mwanzo mi nlipata nao tabu ila kadri siku ziendavyo na baada ya kujua faida zake basi kwangu umekuwa wa muhimu
 
Tatizo ni uandaaji wake katika mazingira yetu machafu. Mara nyingi juice zinanywewa zikiwa tayari contaminated.

yaani juisi unataka ukanywe sokoni? Si itengenezwe nyumbani?

Jinsi ya kutengeneza juisi ya ukwaju:

1. Nunua ukwaju usiomenywa maganda. Kama hauna kinyaa kama cha Nyani Ngabu nunua uliomenywa.

2. Weka kwenye chombo cha bati, bakuli ama sufuria.

3. Chemsha maji kwa jagi ama sufuria. Yakichemka kabisa, yamimine juu ya ukwaju.

4. Subiri kwa dakika kumi na koroga. Kisha chuja

5. Kutumia weka kiasi cha ukwaju kwenye shaker, ongeza sukari ama asali na ice cubes. Tikisa huku unacheza mziki uupendao (makes it easier, hauchoki lol)

6. Voilaaaa. Kituuu!
 
Last edited by a moderator:
yaani juisi unataka ukanywe sokoni? Si itengenezwe nyumbani?

Jinsi ya kutengeneza juisi ya ukwaju:

1. Nunua ukwaju usiomenywa maganda. Kama hauna kinyaa kama cha Nyani Ngabu nunua uliomenywa.

2. Weka kwenye chombo cha bati, bakuli ama sufuria.

3. Chemsha maji kwa jagi ama sufuria. Yakichemka kabisa, yamimine juu ya ukwaju.

4. Subiri kwa dakika kumi na koroga. Kisha chuja

5. Kutumia weka kiasi cha ukwaju kwenye shaker, ongeza sukari ama asali na ice cubes. Tikisa huku unacheza mziki uupendao (makes it easier, hauchoki lol)

6. Voilaaaa. Kituuu!
Mwanajeshi wangu King'asti Umemaliza kila kitu nimekuvulia kofia yangu hongera........................
 
Last edited by a moderator:
yah mlonge ni mzuri japo mwanzo mi nlipata nao tabu ila kadri siku ziendavyo na baada ya kujua faida zake basi kwangu umekuwa wa muhimu

hizi kitu kuzitafuna ni ishu kwakweli nilitafunaga nikiwa na malaria weeee..........labda zitengenezwe kivingine aiseee!
but ikibidi sana ntazitafuna.....lkn .....
 
hapa naona twist ndio itafaa kutengeneza hii ukwaju-shake.....hahahhaaaaaaa u made my day my dada!

yaani juisi unataka ukanywe sokoni? Si itengenezwe nyumbani?

Jinsi ya kutengeneza juisi ya ukwaju:

1. Nunua ukwaju usiomenywa maganda. Kama hauna kinyaa kama cha Nyani Ngabu nunua uliomenywa.

2. Weka kwenye chombo cha bati, bakuli ama sufuria.

3. Chemsha maji kwa jagi ama sufuria. Yakichemka kabisa, yamimine juu ya ukwaju.

4. Subiri kwa dakika kumi na koroga. Kisha chuja

5. Kutumia weka kiasi cha ukwaju kwenye shaker, ongeza sukari ama asali na ice cubes. Tikisa huku unacheza mziki uupendao (makes it easier, hauchoki lol)

6. Voilaaaa. Kituuu!
 
hii kitu "MLONGE" kiswahili chake rahisi ni nini? na inapatikana maeneo gani kwa DSM!

yah mlonge ni mzuri japo mwanzo mi nlipata nao tabu ila kadri siku ziendavyo na baada ya kujua faida zake basi kwangu umekuwa wa muhimu
 
huko kuharisha ndio inasafisha. Binafsi nikiwa na gesi kama nimekula manyamanyama mfululizo then nisipate choo hata kwa siku moja naitengeneza usiku nainywa ya kutosho nzito sikilizia asubuhi nitakavyoporomosha. kama vipi natafuna mbegu tano za mlonge kama kawa ni kusafisha. Mimi kwa kweli nimezoea kusafisha tumbo langu asubuhi milango ya saa kumi na moja au kumi na mbili kila siku so siku ikipita kavu najua chakula nilicho kula hakikubalance. so najitengenezea dawa. So Ukwaju, Mlonge, Asali, Ndimu, Vitunguu swaumu, Mti wa aloe vera ni vitu ninavyopenda viwepo ndani always.

hivi ukihalisha sana unapunguza mafuta mwilini?
 
Hivi huku Arusha ukwaju ntapata wapi nijaribishe hii kitu kwani nami ni mtu wa herbs
 
hii kitu "MLONGE" kiswahili chake rahisi ni nini? na inapatikana maeneo gani kwa DSM!

sidhani kama ina kiswahili kingine hapo nitakudanganya miti yake ipo baadhi ya maeneo awali nilipokuwa naishi kulikuwa na mti lakini nimeshahama ila ukienda pala kkoo sokoni huwezi kuzikosa eti Mzizi Mkavu mbegu za mlonge zapatikana sehemu gani nyingine au dada Paloma anaweza akafahmu sehemu nyingine
 
hizi kitu kuzitafuna ni ishu kwakweli nilitafunaga nikiwa na malaria weeee..........labda zitengenezwe kivingine aiseee!
but ikibidi sana ntazitafuna.....lkn .....

kwa waoga wa vitu vichungu ni mtihani maana hadi masikio yanasisimuka ila ni muhimu ukawa na maji pembeni si unajua ukishazitafuna ukinywa maji yanakuwa matamu....hakuna namna nyingine mamito dawa chungu ndo inatibu vizuri according to me lakini
 
Thank yu MAMUSHKA!

sidhani kama ina kiswahili kingine hapo nitakudanganya miti yake ipo baadhi ya maeneo awali nilipokuwa naishi kulikuwa na mti lakini nimeshahama ila ukienda pala kkoo sokoni huwezi kuzikosa eti Mzizi Mkavu mbegu za mlonge zapatikana sehemu gani nyingine au dada Paloma anaweza akafahmu sehemu nyingine
 
ndio hiyo uchungu nautamu basi nikaona haviendani mwaya! ila mie mamangu anazo kibao sijui hata anazitoa wapi?! ntamuuliza nije kuwajuza

kwa waoga wa vitu vichungu ni mtihani maana hadi masikio yanasisimuka ila ni muhimu ukawa na maji pembeni si unajua ukishazitafuna ukinywa maji yanakuwa matamu....hakuna namna nyingine mamito dawa chungu ndo inatibu vizuri according to me lakini
 
Asante mkuu kwa kunikumbusha,nilisafiri singida nikaja na ukwaju kiloba upo ndani
lakini sikuwa na mpango nao.Naanza leo kutengeneza juice.
 
hii kitu "MLONGE" kiswahili chake rahisi ni nini? na inapatikana maeneo gani kwa DSM!

Mimi nina mti wa mlonge niliupanda nyumbani kwangu na umezaa kwelikweli,lakini
sijui nikusaidieje"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom