Faida za tunda la ukwaju

Ina anti diabetic effect (sikusudii anti shoga nakusudia anti ya ukinzani) halaf inasaidia kornea za macho kuna wengine wanafanya mpaka eye drop za kokwa za maukwaju (wapiga chabo wanaipenda sana), halaf ni nzuri kwa kudhibiti yale makolesterol.

Nikiposti laivu kutoka mzumbe department ya ukwaju, ni mimi dokta wenu klorokwini.
 
ina anti diabetic effect ( sikusudii anti shoga nakusudia anti ya ukinzani) halaf inasaidia kornea za macho kuna wengine wanafanya mpaka eye drop za kokwa za maukwaju (wapiga chabo wanaipenda sana), halaf ni nzuri kwa kudhibiti yale makolesterol.<br />
<br />
Nikiposti laivu kutoka mzumbe department ya ukwaju, ni mimi dokta wenu klorokwini.
<br />
<br />
Thanks Dr Klorokwin. Na mie DR. Globu, yaani ulimwengu.
 
[h=3]FAIDA ZA JUISI YA UKWAJU.[/h]

Tunda la Ukwaju.
Tunda la ukwaju ni tunda lenye faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Tunda hili huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida kubwa sana katika afya ya mwili wa mwanadamu.





Juisi ya Ukwaju.

NAMNA YA KUTENGENEZA JUISI YA UKWAJU.

Nunua ukwaju wako, ukwaju unapatikana kwa wingi sana masokoni na kwenye supermarkets

  • andaa maji kwenye dishi na uoshe kidogo tuu
  • baada ya kuuosha chukua ukwaju wako weka kwenye sufuria yenye maji ya saizi na injika jikoni
  • uache uchemke kwa dakika 10/15 ili uuwe vijidudu
  • ipua ukwaju wako jikoni na uache kwa muda upoe
  • andaa maji yako masafi na chujio ili uweze kuchuja juice yako kwa uangalifu zaidi ili upate juice yenyewe
  • weka sukari kwa kiasi unachopendelea
  • pia ili kupunguza ukali unaweza ukaweka hiliki au vanila ili kupata taste
  • weka juice yako kwenye fridge ili ipoe tayari kwa kunywa

FAIDA YA JUISI YA UKWAJU.


  1. Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
  2. Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
  3. Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
  4. Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
  5. Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
  6. Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
  7. Husaidia kurahisisha choo (laxative)
  8. Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
  9. Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
  10. Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)

NB: Ikiwa ukwaju na asali havikudhuru, basi changanya hivyo viwili ili kupata faida maradufu!


chanzo: https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/84597-faida-za-ukwaju.html
 
ina anti diabetic effect ( sikusudii anti shoga nakusudia anti ya ukinzani) halaf inasaidia kornea za macho kuna wengine wanafanya mpaka eye drop za kokwa za maukwaju (wapiga chabo wanaipenda sana), halaf ni nzuri kwa kudhibiti yale makolesterol.<br />
<br />
Nikiposti laivu kutoka mzumbe department ya ukwaju, ni mimi dokta wenu klorokwini.
<br />
<br />
Asante sana mkuu.
 
<font color="#0000cd">Faida ya Matumizi ya ukwaju</font><div style="margin-left:40px"><b><span style="font-family: Arial"><font size="5"><span style="font-family: Arial"><font size="5"><span style="font-family: Comic Sans MS"><font size="6"><font color="#8b0000">Ina ukwaju, pamoja na asidi% kati ya 16-18, <br />
<br />
ikiwa ni pamoja na asidi citric na vinsyra na <br />
<br />
malic na vifaa vya kufanya Afsip na CITRATE <br />
<br />
potasiamu na chumvi za madini kama vile <br />
<br />
fosforasi, magnesiamu, chuma, manganese, <br />
<br />
kalsiamu, sodiamu, klorini na mengine, ina <br />
<br />
ukwaju vitamini B-3 kama vile mafuta muhimu <br />
<br />
na misombo muhimu Geraniel na LIMONENE <br />
<br />
kama vile pectin na mafuta na sukari.<br />
<br />
<br />
</font></font></span><font size="6"><span style="font-family: Comic Sans MS"><font color="black"><u>Faida kubwa zaidi ya ukwaju ..<br />
</u></font><br />
</span></font><font size="6"><span style="font-family: Comic Sans MS"><font color="darkgreen">- Masomo ya karibuni imeonekana vyenye <br />
<br />
antibiotics ukwaju uwezo wa ukatili wa mengi <br />
<br />
ya aina tofauti bakteria, hii ni karibu na <br />
<br />
faida ya laxative na kupambana na asidi ya <br />
<br />
tumbo.<br />
<br />
- Alikuja katika ukwaju na ilivyoelezwa katika <br />
<br />
Papyrus Pharaonic Oiprz ndani ya matibabu <br />
<br />
na dawa kwa ajili ya kufukuzwa na mauaji ya <br />
<br />
minyoo katika tumbo.<br />
<br />
- Matumizi ukwaju laxative juisi nzuri na <br />
<br />
chilled na refreshing faida kwa kesi za <br />
<br />
kuvimbiwa na matatizo ya INTESTINAL na <br />
<br />
uvivu.<br />
<br />
- Kutokana na kuwepo kwa asidi na madini <br />
<br />
katika kunywa ukwaju, ni muhimu katika <br />
<br />
kupiga vita damu ya acidity ziada, na <br />
<br />
kufukuzwa ya yaliyomo ya sumu ya.<br />
<br />
- Wapi na kunywa ukwaju ina idadi ya <br />
<br />
antibiotics, unaua idadi ya aina ya bakteria <br />
<br />
na kwa hiyo kutakasa mwili kutoka vidudu.<br />
<br />
- Add ya ukwaju kabla ya makampuni ya <br />
<br />
madawa na madawa kwa ajili ya watoto <br />
<br />
Kkhavd joto.<br />
<br />
- Matumizi ya kinywaji laini ukwaju katika <br />
<br />
kesi ya shinikizo la damu, kutapika, <br />
<br />
kichefuchefu na maumivu ya kichwa.<br />
<br />
- Kutumia ukwaju nchini India ili kuondoa <br />
<br />
tumbo gesi na moisturize ya koo na laxative <br />
<br />
mpole, na pia China kwamba anatumia ukwaju <br />
<br />
kutibu kuhara damu na matibabu ya baridi na <br />
<br />
kukosa hamu ya kula.<br />
<br />
- Abu Bakr al-Razi kwa ajili ya ukwaju &quot;juisi <br />
<br />
ya ukwaju kukata kiu ya laini, baridi yake.&quot;<br />
<br />
<br />
- Ibn Sina &quot;Tamarind kufaidika na homa <br />
<br />
kutapika, na kiu katika tumbo walishirikiana <br />
<br />
na hawakupata wengi wa kutapika, njano na <br />
<br />
rahisi ya kunywa kutoka Tbejh karibu na <br />
<br />
chupa ya mlo faida nusu.&quot;<br />
<br />
- Ibn al-Bitar &quot;Tamarind Ojodh laini fade <br />
<br />
kwamba mapumziko na Haig Damu, laxative <br />
<br />
na kunufaika na kutapika kiu, na kuwezesha <br />
<br />
ya njano weasel kufaidika na homa ya <br />
<br />
manjano na kunywa robo kilo.&quot;<br />
<br />
- Daudi akasema Antiokia, &quot;Tamarind baridi <br />
<br />
kavu kuishi moto na nyongo bile kibofu cha <br />
<br />
mkojo na chuki, damu, kutapika, <br />
<br />
kichefuchefu, kuumwa na kichwa, na joto, na <br />
<br />
upendo ikiwa nyumbani kupikia tumors mipako <br />
<br />
na maumivu ya moto.<br />
<br />
chanzo: </font></span></font></font></span></font></span></b><a href="https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/84597-faida-za-ukwaju.html" target="_blank">https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/84597-faida-za-ukwaju.html</a></div>
<br />
<br />
Asante sana mkuu,nimekuelewa.
 
FAIDA ZA UKWAJU

attachment.php


Zifuatazo basi ni faida za ukwaju ambazo zitakushawishi siku nyingine kuagiza glasi ya juisi ya ukwaju, na kama ni 'waziri wa mambo ya ndani' ya nyumba, au una fahamiana na 'waziri husika' basi agiza aendapo gulioni asiache kuchukua fungu la ukwaju wa kutosha walao wiki kama si mwezi mzima.

Faida 10 za ukwaju:
1. Chanzo kizuri cha viuasumu mwilini 'antioxidants' ambavyo huzuia Saratani (cancer)
2. Chanzo cha Vitamini B na C vile vile "carotentes"
3. Hushusha joto la mwili na kuondosha homa, hasa homa ya malaria na homa ya matumbo
4. Huulinda mwili dhidi ya mafua na kero za mafua kooni
5. Husaidia myeyusho na mmengenyo wa chakula na kuondosha kuvimbiwa
6. Husaidia kutibu matatizo ya nyongo (bile disorders)
7. Husaidia kurahisisha choo (laxative)
8. Husaidia kupunguza wingi wa lehemu (cholesterol) na hivyo kuimarisha moyo
9. Husaidia ngozi kuwa nyororo, vile vile husaidia ngozi inayopona baada ya kuungua au yenye vidonda
10. Husaidia kuua minyoo tumboni (kwa watoto wadogo)

Ikiwa ukwaju na asali havikudhuru, basi changanya hivyo viwili ili kupata faida maradufu!
 
Sijaona ya nguvu ya kiume/kike hausaidii maana ulipouliza waziri wa mambo ya ndai nikajua haikosi kwenye orodha
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom