emma115
Senior Member
- Apr 28, 2012
- 135
- 167
Nimeona angalau kwa ufupi niandike kuhusu faida za kutumia Ubuntu kama ambavyo baadhi ya wadau wa teknohama ambao wamekuwa wakitamani kujua.
Nipende tu kuweka wazi kwa kuwa nimekuwa mtumiaji wa Ubuntu kwa miaka kadhaa sasa ni kwamba watu wengi wanapenda kutumia windows kwa sababu tu ya mazoea. Lakini kama mtu amejaribu kutumia ubuntu ataona kutumia windows si lolote wala si chochote.
Sababu moja kubwa ya msingi kwangu katika kutumia Ubuntu ni usalama na mpangilio nadhifu wa vitu vyangu.:A S cry:
Nipende tu kuweka wazi kwa kuwa nimekuwa mtumiaji wa Ubuntu kwa miaka kadhaa sasa ni kwamba watu wengi wanapenda kutumia windows kwa sababu tu ya mazoea. Lakini kama mtu amejaribu kutumia ubuntu ataona kutumia windows si lolote wala si chochote.
Sababu moja kubwa ya msingi kwangu katika kutumia Ubuntu ni usalama na mpangilio nadhifu wa vitu vyangu.:A S cry: