Faida za kuezeka nyumba kutumia vigae

Faida za kuezeka nyumba kutumia vigae

Ndiyo hiyo hiyo uliyotaja hapo...



Cc: mahondaw

Asbestos is a group of six naturally occurring fibrous minerals composed of thin, needle-like fibers. Exposure to asbestos causes several cancers and diseases, including mesothelioma and asbestosis. Although asbestosstrengthens and fireproofs materials, it is banned in many countries.

Vigae au tiles ni pure udongo uliochomwa.
 
Asbestos is a group of six naturally occurring fibrous minerals composed of thin, needle-like fibers. Exposure to asbestos causes several cancers and diseases, including mesothelioma and asbestosis. Although asbestosstrengthens and fireproofs materials, it is banned in many countries.

Vigae au tiles ni pure udongo uliochomwa.

Ahsante kwa muongozo...


Cc: mahondaw
 
View attachment 1425814

Vigae vinapendeza, huvutia machoni na kuifanya nyumba ionekane nadhifu.

Vigae ni imara na havitetereki hata nyumba ikiungua moto vigae haviungui.

Vigae vina uhakika wa kukaa salama kwenye paa la nyumba kwa miaka 99.

Vigae vina punguza joto ndani ya nyumba
Muhimu ni mbao za kenchi kuwa zenye ubora wa hali ya juu. Ni nyingi pia.
In the long run, ni cheaper kuliko kubadili bati na kenchi Mara kadhaa wakati vigae vitakuwa vile vile.
 
Muhimu ni mbao za kenchi kuwa zenye ubora wa hali ya juu. Ni nyingi pia.
In the long run, ni cheaper kuliko kubadili bati na kenchi Mara kadhaa wakati vigae vitakuwa vile vile.
Zamani walikua wanatumia mbao za mvule siku hizi mvule ni mmea unaolindwa.
 
Vigae ni my number one choice though kuna Decra ya Nabaki Africa nayo inanifikirisha, mabati labda nikwame
 
Tatizo mbao zikizeeka utakoma utakiamkia kigae shikamoo.
Paa utaliona hilo linapinda na kubomoa vigae

Kigae ni.kizito mbao huweza himili.mwanzoni lakini muda unavyoenda mbao hupoteza uwezo Wa kuhimili


Nyumba za vigae zinadumu zaidi maeneo ya baridi sio ya joto hata nyumba za mbao maenei ya baridi zinadumu sana
Thanks kwa elimu.
 
Jamani sioni umaarufu wa baki design ya flat ukipaa hapa bongo
je,tatizo ni mtindo haujawavutia watu,gharama za ujenzi hasa ufundi,mafundi bado hawako wa kutosheleza ndio maana nyumba hazijazagaa,au tatizo nini maana binafsi huwa zinanivutia sana.
Nje ya mada kidogo lakini Victoire
 
Jamani sioni umaarufu wa baki design ya flat ukipaa hapa bongo
je,tatizo ni mtindo haujawavutia watu,gharama za ujenzi hasa ufundi,mafundi bado hawako wa kutosheleza ndio maana nyumba hazijazagaa,au tatizo nini maana binafsi huwa zinanivutia sana.
Nje ya mada kidogo lakini Victoire
Kwa Bongo tatizo ni mafundi wanazikosea zinavuja sana, lkn kwa hakika zinapunguza Cost ya Uezekaji.
Back to Vigae, Kibongobongo kuezekea hizo madude lazima uwe vizuri mfukoni, kuanzia ununuzi wake, Mbao na Repaint ya kuondoa Utando wa Fungus mara kwa mara. Lkn kwa maeneo yenye Matetemeko ya Ardhi kama Kigoma,Rukwa, Kagera na Katavi msijaribu kabisa Vigae yaaani kuporomoka wakati wa tetemeko ni dkk Sifuri tu.
 
View attachment 1425814

Vigae vinapendeza, huvutia machoni na kuifanya nyumba ionekane nadhifu.

Vigae ni imara na havitetereki hata nyumba ikiungua moto vigae haviungui.

Vigae vina uhakika wa kukaa salama kwenye paa la nyumba kwa miaka 99.

Vigae vina punguza joto ndani ya nyumba
Acha kudanganya nani kakwambia vigae vibapunguza joto kwenye nyumba?
 
View attachment 1425814

Vigae vinapendeza, huvutia machoni na kuifanya nyumba ionekane nadhifu.

Vigae ni imara na havitetereki hata nyumba ikiungua moto vigae haviungui.

Vigae vina uhakika wa kukaa salama kwenye paa la nyumba kwa miaka 99.

Vigae vina punguza joto ndani ya nyumba


Only the advantages!!!??, what about the disadvantages??!


Wear barakoa against Covid 19 😷
 
Back
Top Bottom