Samico Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 6, 2022
- 768
- 1,803
Habari wapendwa!
Taasisi ya ndoa imekumbwa na mitikisiko mingi hivi karibuni kutokana na changamoto mbali mbali!
Sababu kubwa inayopelekea hayo yote ni matarajio makubwa ya wenza katika ndoa.
UKWELI ni kwamba WANUFAIKA WAKUBWA WA NDOA NI WATOTO Siyo WANANDOA!
Wanandoa ni watu wawili waliokubaliana kutumikiana!
Ndoa nyingi zinakufa siku hizi kwasababu wenza wanataka kuona faida kwenye ndoa zaidi kuliko kutumika!
Ukikataa kuitumikia ndoa yako hufai kuwa miongoni mwa wanandoa!
Kama hukupata FAIDA YA NDOA YA WAZAZI WAKO usitumike kuwakatili watoto wako kuona faida ya ndoa yenu kama wazazi!
Tendo la ndo SIYO FAIDA YA NDOA, Bali FAIDA KUU YA ndoa ni kulea watoto katika umoja wa baba yao na mama yao
Kabla ya kuoa au kuolewa tambua unakwenda kutumika kwa faida ya uzao wako!
WASIOTAKA KUTUMIKA WASIPOTEZE MUDA HAKUNA FAIDA KWENYE NDOA!
Bali nyie wenza wawili (wanandoa) ndiyo mtaji kwa faida ya watoto wenu!
Mkioana ninyi faida ni kwa watoto; Mkiachana ninyi HASARA ni kwa watoto wenu.
NGONO IPO KWA WOTE WENYE UCHI LAKINI NDOA NI YA WACHACHE WALIOJITOA KUTUMIKIANA KWA FAIDA YA WENGINE
Taasisi ya ndoa imekumbwa na mitikisiko mingi hivi karibuni kutokana na changamoto mbali mbali!
Sababu kubwa inayopelekea hayo yote ni matarajio makubwa ya wenza katika ndoa.
UKWELI ni kwamba WANUFAIKA WAKUBWA WA NDOA NI WATOTO Siyo WANANDOA!
Wanandoa ni watu wawili waliokubaliana kutumikiana!
Ndoa nyingi zinakufa siku hizi kwasababu wenza wanataka kuona faida kwenye ndoa zaidi kuliko kutumika!
Ukikataa kuitumikia ndoa yako hufai kuwa miongoni mwa wanandoa!
Kama hukupata FAIDA YA NDOA YA WAZAZI WAKO usitumike kuwakatili watoto wako kuona faida ya ndoa yenu kama wazazi!
Tendo la ndo SIYO FAIDA YA NDOA, Bali FAIDA KUU YA ndoa ni kulea watoto katika umoja wa baba yao na mama yao
Kabla ya kuoa au kuolewa tambua unakwenda kutumika kwa faida ya uzao wako!
WASIOTAKA KUTUMIKA WASIPOTEZE MUDA HAKUNA FAIDA KWENYE NDOA!
Bali nyie wenza wawili (wanandoa) ndiyo mtaji kwa faida ya watoto wenu!
Mkioana ninyi faida ni kwa watoto; Mkiachana ninyi HASARA ni kwa watoto wenu.
NGONO IPO KWA WOTE WENYE UCHI LAKINI NDOA NI YA WACHACHE WALIOJITOA KUTUMIKIANA KWA FAIDA YA WENGINE