Mashoo Mashoo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 375
- 105
Huu ndio ugonjwa wangu. Siwezi nikamaliza week bila kuitafuta.
Nashukuru kwa somo mkuu.
Nashukuru kwa somo mkuu.
Bongo kweli pagumu juice ya miwa buku tano?!! Ulinywea Kempski!!
Duh....
Ila mi naipenda iww bardiii kwa siku nakunywa lita moja,wapo wanaochanganya na Tangawiz na ndimuUkitaka juice nzuri waambie wakuuzie ile ambayo haijachanganywa na mabarafu, hila bei yake imesimama.
Mdau juis lita moja freeesh mwananyamala hapa buku,ww ulikua ukinunua wapi au huko kuna uhaba wa miwa?Hayo mabarafu ukitaka juice freshy mimi nanunua lita moja kwa sh. elfu 5000 freshy nikifika ananitengenezea bila kuchanganya na maji. Ni nzuri kwa afya na ni dawa kubwa ya Ugonjwa wa Ini (Manjano) ukinywa unapona na nilikuwa na nunua hiyo almost 1 year kwa mgonjwa na sasa kapona kabisa.
Mie sasa imekua daily nipige litaHuu ndio ugonjwa wangu. Siwezi nikamaliza week bila kuitafuta.
Nashukuru kwa somo mkuu.
................ pia inarudisha heshima katika ndoa! Jamani miwa! Miwa jamani!