Mimi niliandika mods wakaitoaToka juzi nimesema hii promo ya nguvu sana ila wao wanajua wanaikomoa Jf
Ongezeni wanachama ili wajue mengi zaidi kuhusu serikali yao na utendaji wake kwa jicho la tatu na hasa vijijiniMi mwenyewe kwa hii Saga ya Maxence nimefanikiwa kuongeza member wapya takribani nane.
Nenda kamuwekee dhamana, acha longolongo za tupo pamoja halafu unaishia humu tu!Tuko pamoja Max. Asante kwa kuwa tayari kwa lolote ili mradi tusinyanyaswe
Haya mambo yatasababisha tusifikie Tanzania ya viwanda
Taifa lilipaswa liwe na mawazo ya viwanda
Jamii ilipaswa ijadili kupitia Jf na media zingne kuhusiana na Tanzania ya viwanda
Serikali ilipaswa ijikite kwenye jenda kuu ya viwanda na si kupoteza muda na waleta mabadiliko na maendeleo kama akina Max na wengneo
Tanzania ilipaswa iwekwe pamoja zaid na watu kutoa mawazo yao
Mitazamo ya viwanda ilipaswa ijadiliwe na katika mijadala wakosoaji ni muhimu coz watakosoa kwenye mapungufu na ukosoaji huo ungesaidia kuijenga Tanzania ya viwanda
Ndo muda mwafaka ambao serikali ilipaswa kuwekexa kwenye elimu na elimu inayolenga Tanzania ya viwanda
Tanzania yangu ya viwanda mpaka sasa sijui kama tumeanza au bado tunasubiri kwanza akina Max wafungwe midomo then itakuja kimya kimya