Faida ya elimu Tanzania iko wapi?

Faida ya elimu Tanzania iko wapi?

Uho sasa ni wivu ingia na wewe chomboni watu wanaapa kujitoa mhanga maisha yao yameshikiliwa na nchi why asipate maslai mazuri
 
Askari wa kidato Cha nne ana posho ya usafiri, chakula, vinywaji na akiwa na elimu ya diploma au degree au fani nyingine nayo inalipwa posho.
Lakini Lecturer/Mhadhiri mwenye PH D Hana posho yeyote zaidi ya mshahara wake wa mwezi.
Labda apambane na research abahatike kuokota chochote.
Ndugu zangu mali tutaipata shambani. Ngoja nielekee Kibaigwa nikafyeke pori. Tuonane baada ya mavuno
Na kazi yao ni kubonyeza triger tu
 
Sasa phd unataka posho kweli?? We pambn na research piga ela achana na posho ukiingia online platform za kufanya research zipo nyingi na wanalipwa in dollars nashangaa serikali yetu inazidi kutengeneza wasomi tegemezi ambao hawawezi kujiongeza nje ya mfumo.
 
Askari wa kidato Cha nne ana posho ya usafiri, chakula, vinywaji na akiwa na elimu ya diploma au degree au fani nyingine nayo inalipwa posho.
Lakini Lecturer/Mhadhiri mwenye PH D Hana posho yeyote zaidi ya mshahara wake wa mwezi.
Labda apambane na research abahatike kuokota chochote.
Ndugu zangu mali tutaipata shambani. Ngoja nielekee Kibaigwa nikafyeke pori. Tuonane baada ya mavuno

Mtoa mada anahoja
Jamani yale makozi hasa yanayohusisha masomo haya manne (Phy/Chem/biol/maths) ni magumu sana.
waliopita huko watanielewa, watu wanakesha usiku kucha halafu, wale walio faulu vizuri ndio wanafanya hiyo kazi ya kufundisha/ Lecturer ukweli hao wakufunzi wa Vyuo vikubwa wanastahili Mishahara ya kueleweka au basi wawe na angalau house allowance, transport allowance, ya kueleweka.
Tunapo waacha wawazie au wakimbilie kwenye Siasa tunapoteza watu wazuri wa kutufundishia vijana
HivI; Yule prof mkali sana wa sheria kwa nini asitumike tu huko Chuoni akatunolea vijana badala ya hapo alipo ambapo sio hata fani yake? Naona kama tungenufaika zaidi, ni mtazamo wangu tu!
 
Mtoa mada anahoja
Jamani yale makozi hasa yanayohusisha masomo haya manne (Phy/Chem/biol/maths) ni magumu sana.
waliopita huko watanielewa, watu wanakesha usiku kucha halafu, wale walio faulu vizuri ndio wanafanya hiyo kazi ya kufundisha/ Lecturer ukweli wanastahili Mishahara ya kueleweka au basi wawe na angalau house allowance, transport allowance, ya kueleweka.
Tunapo waacha wawazie au wakimbilie kwenye Siasa tunapoteza watu wazuri wa kutufundishia vijana
HivI; Yule prof mkali sana wa sheria kwa nini asitumike tu huko Chuoni akatunolea vijana badala ya hapo alipo ambapo sio hata fani yake? Naona kama tungenufaika zaidi, ni mtazamo wangu tu!
Watu wanafikiri ni utani lakini vyuoni Kuna brain drain kubwa. Watu wanachomoka mwisho wa siku tutabaki na Nini?
 
Sasa unataka watu wanaokulinda ww na la mari zako wasipewe Posho, hao malecturer unaowazungumzia wanafanya kazi ipi kubwa zaidi yakushika makalio ya wanafunzi wa kike kila sector na raha yake bhana....
 
Sasa phd unataka posho kweli?? We pambn na research piga ela achana na posho ukiingia online platform za kufanya research zipo nyingi na wanalipwa in dollars nashangaa serikali yetu inazidi kutengeneza wasomi tegemezi ambao hawawezi kujiongeza nje ya mfumo.
Wanasema sio rahisi sana Kama huna jina kubwa
 
Hahaha tuwe wavumilivu tuliambiwa DP World wakianza kazi nchi itakuwa na mafuriko ya pesa, tuwape muda.
 
Back
Top Bottom