Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,913
Mh! Source please?Kuna mtaalamu mmoja alisema upungufu wa nguvu za kiume huchangiwa na uogaji wa maji ya moto mara kwa mara.
Kulikoni mkuu!!!Barafu
Mi ninajua faidatu.ujumbemwingi wa Afya husema chemsha maji ya kunywa manayake yatakayo ingia mdomoni je wakatiwa kuoga maji hayaingiimdomoni? maji ya kunawa asubuhi tunachemsha? hivyobasi we endelea kuoga maji ya moto yanaua vidudu
Mkuu kuna thread hapa imefafanua vizuri
jaribu kuutafuta lakini madhara hakuna.
Vp kule Ulaya kwenye baridi kali si wanaoga
ya moto na wanazaa kama kawaida.