Siafu na Manga
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 2,885
- 8,955
umoto upi unaozungumzia wewe?
maji ya kuoga yanafakiwa yawe na nyuzi joto ngapi kwa vipimo vya °C?Kwa kunywa lakini, maji ya uvuguvugu ndo bora zaidi kama wachina.
-Kuoga maji ya moto au uvuguvugu kwa muda mrefu ngozi inasinyaa
Itategemeana na afya ya mwili wa mtu au mazingira (hali ya hewa) lakini kwa kawaida about 39°C upwardsmaji ya kuoga yanafakiwa yawe na nyuzi joto ngapi kwa vipimo vya °C?
kwa mwanaume kuoga maji ya moto sana sio vzuri coz zile testies(mapu...) haztakiwi kupata joto sana coz ztashindwa kuzalisha mbegu ndo maana haziko ndani ya mwili coz ndan ya mwili joto huwa ni kubwa so ukiogea maji ya moto sana unaongeza external temperature ambayo inadestroy zile mbegu znazozalishwa na testies hope umenipata fresh.
nguvu za kiumeHabari zenu wana jf,mimi ni mdau mkubwa sana wa kuoga maji ya moto na nimekuwa addicted kuoga maji ya moto for almost 4 years now. So nauliza je kuna madhara gani Kiafya kuoga maji ya moto for a long tym?, Nb:naishi Dar
Ambayo huijui mpka sasa??kama bado unadhani basi ujue haina madhara maana wewe ndo ungetoa ushuhuda hapa.kama tukipata sababu za kisayansi itasaidia zaidi lakini nadhani hata kunywa yana madhara.....niliwahi kunywa sana maji ya moto wakati niko high schoo wakawa wananiita mahot....nadhani kuna athari nilipata
Hujawahi oga maji ta moto mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sehemu za joto kama Dar nitajaribu