Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

No conservation if she need employment then she will be my employee too

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mke wa bro wangu kajenga kwao kimya kimya, sasa najiuliza hiyo nyumba ni kwao yaani yeye na wazazi wake, ya watoto wake au yao yeye na mume wake. Wanawake wa dizaini hii ni tatizo kwenye maisha, anakuwa na malengo yake separately.
na hili ndo tatzo weng hela zao wanazitumia kwa siri mno,,imagine mtu hadi amemaliza kujenga home alikua anaweza kweli kuchangia mahitaji??

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Mwanamke msomi ni msomi tuuu..
Akae nyumbani au afanye kazi,huwezi mlinganisha na darasa la 7B

Ishu ipo kwny utiifu na maadili ya kuishi na mume na familia kwa ujumla,kuna vitu vingi vinaathiri hili,kwanza ni malezi ya alipotoka mwanamke,maadili ya dini,jamii inayomzunguka etc..mwanamke aliepata malezi mazuri atakua mwenye kumtii mumewe na kumsikiliza

Tatizo ni kwamba wanaume Wa Kitanzania wenngi wenu hovyo sanaa,,mnataka mumtawale mwanamke weee,,na pili wanawake sa hvi wameamka Hamna anaetaka kinga mkono maana hela za kupewa zina manyanyaso sana,,unataka mke akienda salun akuombe hela na umpe ukijiskia au akupe game kwanza..wakati akiwa na ki-akiba chake huyo ananyoosha saluni..mnataka mke akae home ili mlambwe miguu kwny kuombwa hela.

Then,vijana Wa zama hizi acheni kupenda slope,mke hata akifanya kazi bado unatakiwa umhudumie yeye na watoto aliokuzalia..ulipe bills,ulipe ada,kodi na yeye fungu lake lipo palepale...sasa nyie mnataka msaidiwe..
Mbona anazaa watoto kwa uchungu na wanachukua u-bin wako?!
Akikusaidia ni ihsani tu anakufanyia ila sio wajibu wake.

Acheni kulia lia,jukumu la kutoa hela ni la mume,mke afanye kazi au laa..
Kumbe ndio maana hadi leo hujaolewa! Okay now I understand the reason for for you to continue to be single in you're life time.
 
Nyinyi makaka hamna huruma tulisomeshwa na kodi za walala hoi na jamii inatuhitaji tunaweza kubalance majukumu na mkapata chakula cha moto pia.
tatzo ndo ilo hamna kisaidiana mwanaume unaachiwa majuku yote akat wote mnafanya kaz na vipato vyenu vinakarbiana hela ya mwenzako huion
wengne jeur coz wanajiamin wanajua kutafuta yuko tyr kuachana mda wwte

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Nimemsemaje hapo? It is a naked truth. .
Wewe unaonekana una inferiority complex
Haka kaneno nahis mmeo anakoma nako, kwamba hujaona ulivyomsema hapo .

Tunaposema umemsema mtu inamaaana umeongea ukweli kuhusu huyo mtu either yupo au hayupo Ila tatizo linakuja unamsema katika mazingira Gan.

Masters za siku hizi bana
 
Haha tubukue tu

1. Mtu mnafanya kazi wawili na mnasupportiana ila still life fu*ks you vizuri tu. Huyo mwanaume wakuprovide 100% na akakupa maisha utakayoridhika nayo kabisa wapo wangapi Tz hii? Majority ni kina average joes, klyn mwenyewe anafanya kazi.

2. Kuna leo na kesho, hiyo nguzo mnayoitegemea ikidondoka ndo watu wanabaki kuwa ombaomba (kuna kufariki, kuna kufukuzwa kazi kuna biashara kuyumba au kufa). Mke amezoea kuletewa, anaanzia wapi kutafuta on her own na hadi aje asimame, familia imeshasuffer vya kutosha

3. Mke amezaliwa na Mungu ameweka purpose ndani ya maisha yake. Kulea peke yake sio kusudi la maisha yake yote. She has dreams to achieve, a purpose to fulfil and a legacy to leave behind

4.. Siku hizi single moms kwenye ndoa wanaongezeka kwa kasi. Wanaume wagumu hao kuhudumia familia, mama ukitegemea kupewa basi tegemea kuua ndoto za watoto wako na watoto wako watateseka hadi basi. Mama fanya kazi, tengeneza kipato, huyo bwana akikamatwa huko nje, wewe endelea tu kutunza familia yako. Mke mwenye akili njema ashanielewa

Nafikiri cha msingi ni kuwa na balance kati ya kazi na familia. Woman; dont drop your dreams for a family, make your family part of your dreams. But at the very same time, don't keep on pursuing your dreams at the expense of your family's welfare.
To each his own though
umeandika vzr sana,,,itabd nikutafute kabla hujaolewa

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Haha tubukue tu

1. Mtu mnafanya kazi wawili na mnasupportiana ila still life fu*ks you vizuri tu. Huyo mwanaume wakuprovide 100% na akakupa maisha utakayoridhika nayo kabisa wapo wangapi Tz hii? Majority ni kina average joes, klyn mwenyewe anafanya kazi.

2. Kuna leo na kesho, hiyo nguzo mnayoitegemea ikidondoka ndo watu wanabaki kuwa ombaomba (kuna kufariki, kuna kufukuzwa kazi kuna biashara kuyumba au kufa). Mke amezoea kuletewa, anaanzia wapi kutafuta on her own na hadi aje asimame, familia imeshasuffer vya kutosha

3. Mke amezaliwa na Mungu ameweka purpose ndani ya maisha yake. Kulea peke yake sio kusudi la maisha yake yote. She has dreams to achieve, a purpose to fulfil and a legacy to leave behind

4.. Siku hizi single moms kwenye ndoa wanaongezeka kwa kasi. Wanaume wagumu hao kuhudumia familia, mama ukitegemea kupewa basi tegemea kuua ndoto za watoto wako na watoto wako watateseka hadi basi. Mama fanya kazi, tengeneza kipato, huyo bwana akikamatwa huko nje, wewe endelea tu kutunza familia yako. Mke mwenye akili njema ashanielewa

Nafikiri cha msingi ni kuwa na balance kati ya kazi na familia. Woman; dont drop your dreams for a family, make your family part of your dreams. But at the very same time, don't keep on pursuing your dreams at the expense of your family's welfare.
To each his own though


This's Dope gaal!

espy unakumbuka doubts zangu?!
I'm in 200%, afe kipa, afe referee! :)
 
Sijui mtoa mada yeye mke anamuangalia kwa kigezo gani

May Allah bless Me and You
mm nilikua kwenye upande wa mtu wa kusaidiana nae kimaisha si unajua watt siku hz wanataka kusoma prv8 skulls

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
na hili ndo tatzo weng hela zao wanazitumia kwa siri mno,,imagine mtu hadi amemaliza kujenga home alikua anaweza kweli kuchangia mahitaji??

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
By nature all women are selfish! Don't expect any contribution from a woman after marriage out of her thing that is found between her two legs
 
habar yenu wana jf
jana nilivotoka job tukapitia kupasha koo ikazuka mada ya nan wa kuoa mke msom au mama wa nyumban

mimi nikawa nawaza mke msomi ni bora coz ya kusaidiana maisha usawa huu wa magu bt kuna mabro wawili wao wamenizid na washaoa wakanicrush kwa nguvu zote

mmoja yy anajuta kwa nn alioa msomi anaepiga job anacholalamika bill zote za nyumba yy ndo anasimamia hata chakula yy ndo ananua mkewe ni mfanyakaz hachangii kitu zile trh za mwisho wa mwez anakua amepigika vbaya akimuomba mkewe anunue hata chakula kwa wiki moja basi ni maharage na mboga za majani akat yy ni hua manyama nyama jamaa ameuliza sana mshahara wa mke wake anapeleka wap hapewi majibu straight mpaka ashachoka sasa mwez huu jamaa amelipa ada za watt yy mwenyewe mkewe hajui kitu na hata hafatilii yan jamaa anajuta ana wish angeoa mama wa nyumban tu angejua moja yy ndo mtafutaji pekee

mwingne naye ameoa msom anadai mkewe ni kibur kutokana na pesa zake wanafanya kaz benk tofauti yan mke hata akikosea jamaa akiuliza mke anakuja juu anajibu kama vp waachane tu coz hat yy anajua kutafuta so asimtishe jamaa anachoogopa ana mapacha wawili wa mwaka mmoja so hataki kuwap shida watt ila anawish angeoa mke wa nyumban angekua ana full authority tu

wote hao wametuonya usijarbu na wao wanadai wana wenzao wana matatzo kama yao weng mno na hua wanawaonea wivu waliooa wake za nyumban coz hua sio wajeuri

maoni yako vpi ww unaona sawa kuoa mke wa nyumban kwa usawa huu wa magu???

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Bila kujali usomi wake au kama hajasoma, binafc nitakaeoa awe radhi kukaa nyumbani na kulea familia, mambo yakuacha mtoto na dada wa kazi binafc hayana nafasi, kama ni kazi bac atafanya baada ya watoto wote mpk yule wa mwisho kuwa amefikisha umri wakwenda shule na sio chini ya miaka mitano.

Swala la mshahara wa mwanamke huwa sio wakuulizia ndio maana hata maandiko matakatifu yanasema mwanaume utakula kwa jasho lako na sio la mke wako
 
Mke msomi kasoma anajua manyama nyama yanasababisha cancer na ugonjwa wa moyo, anaamua kupika maharage na mbogamboga za majani kulinda afya, mume analalamika.

Sasa hayo si ndiyo matunda ya usomi?

Unataka msomi naye apike mavitu yaliyojaa cholesterol kama hajasoma?


Alwatan we vipi?!, tunaambiwa tum kaangie mume haswaa!, uki bake au kupika simple and healthy tutaambiwa wavivu bure. Chuzi shurti lielee mafuta matupu manake, hapo ndo tuonekane wapishi bora na tunajua kutunza mume mpaka aote kitambi...lol
 
Alwatan we vipi?!, tunaambiwa tum kaangie mume haswaa!, uki bake au kupika simple and healthy tutaambiwa wavivu bure. Chuzi shurti lielee mafuta matupu manake, hapo ndo tuonekane wapishi bora na tunajua kutunza mume mpaka aote kitambi..
Hahaha, umedata.

Yale masomo yote ya balanced diet tupilia huko.

Kitambi muhimu.

Bila kitambi watu watajuaje mume kibosile?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom