JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,202
- 5,012
Kumekuwa na maoni mbalimbali toka kwa wadau juu ya mada hii:
Je, kuoa mwanamke mwenye elimu nzuri na kazi nzuri au mwanamke asiye na elimu kubwa na mama wa nyumbani - ni lipi jambo sahihi?
Maoni ya wanaume wengi yana mitizamo tofauti na pengine ni kupitia mjadala huu hata wanawake pia watatoa maoni yao kueleza mtizamo wao na hata kuweza kupata mjadala wenye tija kwa wadau mbalimbali wanaotaka kufanya maamuzi kabla ya kuoa/olewa.
Karibuni kwa mjadala!
Je, kuoa mwanamke mwenye elimu nzuri na kazi nzuri au mwanamke asiye na elimu kubwa na mama wa nyumbani - ni lipi jambo sahihi?
Maoni ya wanaume wengi yana mitizamo tofauti na pengine ni kupitia mjadala huu hata wanawake pia watatoa maoni yao kueleza mtizamo wao na hata kuweza kupata mjadala wenye tija kwa wadau mbalimbali wanaotaka kufanya maamuzi kabla ya kuoa/olewa.
Karibuni kwa mjadala!