Faida na hasara za kuoa mwanamke msomi na mwenye kazi na kipato kizuri

Eti jamaa mmoja anasema heri kuoa ambaye hajasoma maana hatamtesa, anadai kwamba wasomi wana majidai, majigambo na najidai kujua sana. Kwa upande wangu naona ukipata msomi na mwenye ufahamu mpana mtasaidiana katika mengi na hatakutegemea wewe tu kwa kila kitu, nimsaidieje huyu jamaa ili anielewe?

Ni kweli.Mimi nilioa dada mmoja M.Sc.holder,du alinisumbua sana.Matatizo ni hayo hayo na mengine mengi.Ilibidi nimwage manyanga.Sasa nimeoa Form IV leaver ambaye ni mama wa nyumbani.Niko very comfortable.
 
Wadau habari,

Wanawake walioenda shule wakapata kazi ni shida utasikia "leo nimechoka kazi zilikuwa nyingi, niache nilale kidogo" imetoka hiyo, tena utasikia "niache nilale kesho nina presentation" ishatoka hapo kama ndo hamu ilikuzidi, utakoma.

Usiombe ukawa na hamu, yaani utatamani uchepuke, kutana na asiye na kazi sasa, kila muda kakutegeshea, unatupia mawe utakavyo, labda zile siku za utaalamu wao.

Jamani wanawake wasomi badilikeni
 
Unataka upewe kila saa ukinai?

Afu hii itakukuta kama na wewe mwenyewe sio mtaalam wa kuomba kama sio kuchukua...na kukipokea kile unachopewa ipasavyo.

Mapenzi creativity asee
 
oa taipu yako kijana.
ya nini kujibebesha mzigo kg 100 na uwezo wako ni kg30!
hauoni unajitafutia maradhi mwenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom