Kuna anayefahamu kuhusu faida na hasara za ipad? Msaada tafadhali; l am thinking of buying one!
Google itakusaidia zaidi kufanya maamuzi sahihi. Mimi nitakupa ushauri mdogo kuwa kama unaishia Tanzania nunua iPad yenye both wifi na 3G. Hii itakusaidia sana sehemu ambazo hakuna wireless. Lakini bei ya wifi peke yake ni cheaper kuliko ambayo ina both wifi na 3G. Pia angalia matumizi yako kama unahitaji ipi maana ziko tatu. 16GB, 32GB na 64GB. Maelezo ya kina utayapata kwenye google kama alivyoshauri Mtazamaji.Nashukuru, I will do it! Nilitaka kujua from here, kama kuna mtu ambaye anatumia!
Thanks anyway!
Apple,
sorry was away!