Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Miti yote hii kwanini uhangaike na Furniture za Chuma hata hao wanaotumia furniture za vyuma ni kwa vile tu ya shortage ya mbao maeneo waliopo sasa na sisi tuna iga eti, Ni kama leo Waislamu wanavyozika wapendwa wao bila majeneza wanasahau huo utamuduni ulikuwa kwa waarabu kwa vile kule miti ya mbao ni shida sasa Bongo hapa Mbao kibao utashindwa vipi kumstiri mpendwa wako katika jeneza
Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Kipande changu cha mkeka is the best..
1. Kwanza nalala chali, nanyoosha uti wa mgongo,
2. ikitokea nimelibwanda(nimejikojolea usingizini) asubuhi naweza kuufua kabisa na omo ukanukia vizuri
3. Sipati ajali za kuanguka toka kitandani
Kipande changu cha mkeka is the best..
1. Kwanza nalala chali, nanyoosha uti wa mgongo,
2. ikitokea nimelibwanda(nimejikojolea usingizini) asubuhi naweza kuufua kabisa na omo ukanukia vizuri
3. Sipati ajali za kuanguka toka kitandani