Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,253
Punguza kushiba sana.Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
All about mgegedo.Mwenye kuelewa hizi code anifungulie
Seriously?Vitanda vya chuma havina mzuka wala shape
🤣🤣Mkuu hata mimi Niko pamoja naweMwenye kuelewa hizi code anifungulie
Size ya kitanda ina affect vipi?Kama ishu ni hiyo peleka kwa fundi akuuongezee ubao katikati wa kuzuia chaga kubonyea. Bila shaka unatumia kitanda cha ft 6 × 6
uyo anaelala juu anapandaje??View attachment 1551512
Hii ni mfano wa kitanda kilichopo kwa watoto
Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Vitanda vizuri kabisa.....Chaga unazochukua ni nyepesi mzee, na pengine unatumia 6*6 ft.
Chuma sijawahi kukielewa, hata hivi vya Ma sofa sivielewi, basi angalau Sehemu kubwa iwe mbao ila full sofa hapana.
Nahitaji mbao, tena cha boks
View attachment 1551496View attachment 1551500
Cha chuma faida hakiliwi na mchwa,kwichi kwichi haipo, kina space nzuri kudeki unadeki hadi mvunguni,hakuna sehemu ya kijificha kunguni kiviilee. Na ikatokea nyumba umewaka moto wewe unapaka rangi tuu na chaga nyingine kitand kipo.Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Kama ishu ni hiyo peleka kwa fundi akuuongezee ubao katikati wa kuzuia chaga kubonyea. Bila shaka unatumia kitanda cha ft 6 × 6
Weka ubao ila nao uwekwe miguu.Yaani nishapeleka kwa fundi akaweka ubao tatizo baada ya muda ubao nao unashuka (sema ni muda mrefu kama 2yrs ndio niliweka ubao) ingawa umeshuka tena sasa nahitaji solution ya kudumu kitanda hichi ni 6x6
Doooh bro una kilogram ngapi!? Hapo kitandani huwa mnakaa kwenye paa mnajitupia kitandani mkitaka kulala ama ni nini!?Yaani nishapeleka kwa fundi akaweka ubao tatizo baada ya muda ubao nao unashuka (sema ni muda mrefu kama 2yrs ndio niliweka ubao) ingawa umeshuka tena sasa nahitaji solution ya kudumu kitanda hichi ni 6x6
Weka ubao ila nao uwekwe miguu.
Una kilo ngapi? Mkeo jee?
Godoro lako nchi ngapi?
Tatizo ni ubora was godoro sio kitandaWadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Umemaliza kila kituFaida
*Havishambuliwi na wadudu waaribifu mf: mchwa
*kinapangika vizuri ktk gari wakati wa kuhama
*kinakupa chaguzi ya rangi upendayo
*hii ni moja ya sex tool makini kikifungwa kiumakini
*KUNGUNI hatagi ktk chuma. kunguni hawapendelei vitanda hivi na kama watakuwepo ni simple kuwateketeza kwani watakaa ktk godoro tu.
*hudumu kwa muda mrefu ukilinganisha na mbao kwa gharama ya kitanda husika
HASARA
*Ku conduct umeme kama kitakuwa na waya ziko uchi na kugusa sehemu ya kitanda
* kushika kutu. Hii ni kwa wale wanaokaa nyumba zinazovuja. Au waliotegesha vitanda dirishani hasa msimu wa mvua,
*kinadumu sana , hakiharibiki.
Wadau ongezeeni.
gharama yake ikojeFaida
*Havishambuliwi na wadudu waaribifu mf: mchwa
*kinapangika vizuri ktk gari wakati wa kuhama
*kinakupa chaguzi ya rangi upendayo
*hii ni moja ya sex tool makini kikifungwa kiumakini
*KUNGUNI hatagi ktk chuma. kunguni hawapendelei vitanda hivi na kama watakuwepo ni simple kuwateketeza kwani watakaa ktk godoro tu.
*hudumu kwa muda mrefu ukilinganisha na mbao kwa gharama ya kitanda husika
HASARA
*Ku conduct umeme kama kitakuwa na waya ziko uchi na kugusa sehemu ya kitanda
* kushika kutu. Hii ni kwa wale wanaokaa nyumba zinazovuja. Au waliotegesha vitanda dirishani hasa msimu wa mvua,
*kinadumu sana , hakiharibiki.
Wadau ongezeeni.