Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,632
Kulingana na muelekeo wa nchi ulivyokuwa , kuna idadi kubwa ya wananchi wanatamani nchi iongozwe na jeshi.
Lakini swali la msingi kuna faida zipi na hasara ipi nchi ikiwa inaongozwa na jeshi?
Maana hawa ndugu zetu wanajeshi tunajua ni watu wa amri tu mwanzo mwisho.
Wasije tu na wazo vijana wote wakifika miaka 18 lazima waende jeshi kujifunza uzalendo.
Watumishi wote wa uma lazima wapitie jeshini nk 😂😂😂😂😂
Lakini swali la msingi kuna faida zipi na hasara ipi nchi ikiwa inaongozwa na jeshi?
Maana hawa ndugu zetu wanajeshi tunajua ni watu wa amri tu mwanzo mwisho.
Wasije tu na wazo vijana wote wakifika miaka 18 lazima waende jeshi kujifunza uzalendo.
Watumishi wote wa uma lazima wapitie jeshini nk 😂😂😂😂😂