Agrila Farming
Member
- Mar 3, 2018
- 64
- 53
PEAT MOSS NI NINI?
KWANINI WAKULIMA WENGI HUPENDELEA KUTUMIA UDONGO WA PEAT MOSS?
(i)Udongo wa peatmoss unauwezo mkubwa wa kuhifadhi maji pamoja na hewa ya kutosha.
Moja ya sifa kuu ya udongo huu maalum wa peatmoss ni uwezo wake mkubwa wa kutunza maji na hewa ya kutosha kwa shuguli mbalimbali za mmea ikiwemo utengenezaji wa chakula.Udongo huu huweza kuhifadhi maji mara 20 ya uzito wake wenyewe na kuyaachia maji haya pindi yanapohitajika na mmea.Udongo huu pia huhifadhi hewa ya kutosha kwani hewa ya oxygen huhitajika sana na mmea hasa kwenye mizizi ili mmea kukua vizuri.
(ii)Udongo huu hauna magonjwa wala magugu
Udongo huu maalum huwa hauna kabisa magojwa yeyote yanatoambatana na udongo ambayo huweza kuleta changamoto katika germination ya mbegu pamoja na ukuaji wa miche pindi iwapo kitaluni.Tunapotumia udongo wetu huu wa kawaida changamoto kubwa tunayokuwa nayo ni kutokua na uhakika juu ya afya ya udongo kwani udongo unapokuwa na vimelea vya magojwa mbegu kuota huwa ni ngumu.Udongo huu unapotumika husaidia pia kupunguza uwepo wa magugu ambayo hushindania mbolea na miche pindi tunapotumia udongo wa kawaida wa kupandia
(iii)Udongo huu hauhitaji kuchanganywa na kitu chochote pindi unapotumika
Pindi Udongo wa peatmoss unapotumika kupandia miche,hauhitaji kuchanganywa na kitu chochote wala mbolea yeyote kwani umetengenezwa ukiwa na kila sifa zote zinazohitajika kwa uotaji wa mbegu pamoja na ukuaji wa mche.Hauhitaji kuchangwanywa na chochote mbali ya dawa zinazotumika kupiga miche pindi miche inapokua.Kilo moja ya udongo huu hutosha kujaza Tray Mbili wakati wa kupanda.
Kwa mahitaji ya udongo huu wa kupandia wa PEAT MOSS usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba +255752022108 | 0654357571.Tunauza 3500/= Tsh kwa kilo na pia upo kwa package ya kilo 50 ambao tuna uuza 170,000/=Tsh. SEEDLING TRAYS pia tunazo zenye idadi ya matundu tofauti tofauti kwa gharama ya 5000/=Tsh kwa tray. KARIBU KWA SWALI LOLOTE.
Peat moss ni udongo maalumu unaotumika kwa ajili ya kuandaa miche hasa kwenye upande wa miche ya mboga mboga na matunda kama vile nyanya,hoho,papai n.k Udongo huu huzalishwa katika nchi za ulaya kama vile Norway,Finland na husambazwa duniani kote ili utumike katika shughuli za uoteshaji wa miche kwani umetengenezwa kuwa na sifa zote maalum zinazohitajika katika uotaji wa mbegu ukilinganisha na udongo huu wa kawaida tunaoutumia kupandia mazao yetu mashambani.Peat moss huenda sambamba na matumizi ya seedling trays,tray maalumu ambazo hutumika kupandia mbegu na kukuzia miche kitaluni.
Fig 1 Udongo wa peat moss unaotumika kupandi mbegu kwa maandalizi ya miche
Fig 2 Miche iliyotayari ikiwa imepandwa ndani ya tray kwa kutumia Udongo wa Peat moss
KWANINI WAKULIMA WENGI HUPENDELEA KUTUMIA UDONGO WA PEAT MOSS?
Wakulima wengi hapa nchini kwetu wameanza kupenda kuzalisha miche kwa kutumia udongo huu maalum wa peat moss kwasababu mbegu za kisasa za hybrid huuzwa ghali kidogo ukilinganisha na hizi mbegu za kawaida za OPV na mara nyingi mbegu hizi huuzwa kwa punje na gharama ya punje za zao kama nyanya hufikia mpaka 150/= Tsh kwa punje moja hasa kwa mbegu za hybrid za ndani ya greenhouse.
Mkulima anapoamua kulima kwa kutumia punje hizi ni lazima ahakikishe punje hizi zinaota zote ili kuepusha hasara anayoweza kuipata pindi punje hizi za mbegu zisipo ota kama zinavyotakiwa kutokana na matatizo mbali mbali yanayosababishwa na Udongo.Udongo wetu huu wa kawaida unaweza kutumika lakini kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo magonjwa,rotuba na sifa mbali mbali za udongo si mbegu zote zinaweza zikaota kama inavyotakiwa kitu ambacho kinaweza kuleta hasara kubwa sana kwa mkulima.Ili kuweza kutatua changamoto hii wakulima wamekuwa wakipenda kutumia udongo huu kwani umetengenezwa ukiwa na sifa zote muhimu zinazotakiwa kwa uotaji na ukuaji wa mbegu.
Fig.3 Udongo wa peatmoss ukiwa katika package ya Kilo 50
FAIDA KUU TATU ZIPATIKANAZO PINDI MKULIMA ANAPO TUMIA UDONGO MAALUM WA KUPANDIA WA PEAT MOS
FAIDA KUU TATU ZIPATIKANAZO PINDI MKULIMA ANAPO TUMIA UDONGO MAALUM WA KUPANDIA WA PEAT MOS
(i)Udongo wa peatmoss unauwezo mkubwa wa kuhifadhi maji pamoja na hewa ya kutosha.
Moja ya sifa kuu ya udongo huu maalum wa peatmoss ni uwezo wake mkubwa wa kutunza maji na hewa ya kutosha kwa shuguli mbalimbali za mmea ikiwemo utengenezaji wa chakula.Udongo huu huweza kuhifadhi maji mara 20 ya uzito wake wenyewe na kuyaachia maji haya pindi yanapohitajika na mmea.Udongo huu pia huhifadhi hewa ya kutosha kwani hewa ya oxygen huhitajika sana na mmea hasa kwenye mizizi ili mmea kukua vizuri.
(ii)Udongo huu hauna magonjwa wala magugu
Udongo huu maalum huwa hauna kabisa magojwa yeyote yanatoambatana na udongo ambayo huweza kuleta changamoto katika germination ya mbegu pamoja na ukuaji wa miche pindi iwapo kitaluni.Tunapotumia udongo wetu huu wa kawaida changamoto kubwa tunayokuwa nayo ni kutokua na uhakika juu ya afya ya udongo kwani udongo unapokuwa na vimelea vya magojwa mbegu kuota huwa ni ngumu.Udongo huu unapotumika husaidia pia kupunguza uwepo wa magugu ambayo hushindania mbolea na miche pindi tunapotumia udongo wa kawaida wa kupandia
(iii)Udongo huu hauhitaji kuchanganywa na kitu chochote pindi unapotumika
Pindi Udongo wa peatmoss unapotumika kupandia miche,hauhitaji kuchanganywa na kitu chochote wala mbolea yeyote kwani umetengenezwa ukiwa na kila sifa zote zinazohitajika kwa uotaji wa mbegu pamoja na ukuaji wa mche.Hauhitaji kuchangwanywa na chochote mbali ya dawa zinazotumika kupiga miche pindi miche inapokua.Kilo moja ya udongo huu hutosha kujaza Tray Mbili wakati wa kupanda.
Kwa mahitaji ya udongo huu wa kupandia wa PEAT MOSS usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba +255752022108 | 0654357571.Tunauza 3500/= Tsh kwa kilo na pia upo kwa package ya kilo 50 ambao tuna uuza 170,000/=Tsh. SEEDLING TRAYS pia tunazo zenye idadi ya matundu tofauti tofauti kwa gharama ya 5000/=Tsh kwa tray. KARIBU KWA SWALI LOLOTE.