FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Asante mkuu, atakuwa na matatizo ya akili bila shaka..Hako kajamaa achana nako ni kabishi balaa afu hamna kitu kichwani
Asante mkuu, atakuwa na matatizo ya akili bila shaka..Hako kajamaa achana nako ni kabishi balaa afu hamna kitu kichwani
Naona baada ya hapo hajaleta tena ujinga wake πππHahahah imeisha hio.
Ni ya mama yako mkuu
Mwishowe munafanya mashambulizi kwa mtu mukishirikiana baada ya kushindwa hoja.Asante mkuu, atakuwa na matatizo ya akili bila shaka..
Ufinyu wako wa akili tu huoMkuu kama hujaelewa mie sina wajibu wa kukuelewesha hapo.. Lugha za kitapeli ziko smart sana ili likibumburuka basi apate loophole ya utetezi. Sasa huo utetezi ndio huu hapa wako teh teh teh
Unamjua kwa karibu sana au sio mazee..
Huo ni uzi bro bado kuna maelezo yanaendelea huko chiniAmbacho hujaelewa ni kipi, amesema watu waweke malengo 2020, akasema alijiapiza 2019 lazima awajengee wazazi wake nyumba ya kisasa ambayo ndo hiyo hapo pichani.
Mimi ni Ontario???Wakuu msiumize vichwa ,Ontario ni Tapeli Mjanja mjanja kwa watu ambao hawana upeo lazima awaingize king,Ontario kaanzisha Shindano la kujishindia laki 1 kwa watu 10 ,mmoja wa washindi ni Dan Pol na ametaja sifa nyingi sana za Dan Pol mpaka akampa laki 1 ,ukichunguza utajua tu Dan Pol ni Ontario mwenyewe.
Teh teh teh nasikia umepewa laki moja huko Twitter... πππππ Nacheka kama mazuriiUfinyu wako wa akili tu huo
Hebu taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa na Ontario.. mmoja tu
Kamtapeli nani???Ontario ni tapeli tu...twitter kasema miezi michache iliyopita alikuwa anakaa hostel kimara hana kitu halafu mtu anakuja humu kumtetea
wapi alisema ana mijengo kibao? hata kama anayo, nani kasema haruhusiwi kupanga?Jamaa sijaelewa kwanini ameuliza hilo swali ,hajui Ontario anasema yeye kwamba ni tajiri anaingiza mil 100 forex ,ana mashamba kibao ya mipapai ,ana mashamba ya mkonge mengi tu , ana biashara za kuku kibao ,ana miliki mandinga ya maana ,mijengo kibao ,amewajengea wazazi nyumba ya ghorofa lakini alikuwa amepanga mikocheni usd 1000 kodi ikamshinda akaenda kupanga hostel kwa elfu 40,swali kwanini asingeenda kukaa moja ya nyumba zake wakati akijipanga? Kama ana hela nyumba zake obvoius zitakuwa prime areas!
Kamtapeli nani??Sheria za kuchukua video kwa shamba lako? Hahaaa wadanganye mazwazwa wenzako ,Ontario ni Tapeli.
Wajinga ni wengi hawaiishi na ndio maana baada ya kuwapiga watu humu JF amekimbia anakuja kwa ID nyingine ameenda kukamata mabumunda twita kwahiyo lazima tuwape elimu NYUMBU wasiendelee kutapeliwa na Ontario.
Taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa, mmoja tuTeh teh teh nasikia umepewa laki moja huko Twitter... Nacheka kama mazurii
Bado upo uwo uzi nikausome.Huo ni uzi bro bado kuna maelezo yanaendelea huko chini
Seriously hebu nifungue akil kidogo inawezekana nakwama kimtazamo mahalaMkuu. Ukikaza unaweza shika zaidi ya hizo 200m kwa hiyo miaka 4
Huyo kaweza leta picha that means bado upo, angalia tarehe kwenye picha alizoleta nenda kausomeBado upo uwo uzi nikausome.
Sina huo muda wa kukutajia, humu nyuzi za watu wakilalamika huo usanii wa dogo zipo..Taja mtu mmoja tu unae mjua ww alie tapeliwa, mmoja tu
Yes, nimeshinda laki 1, kuna tatizo?
Nyumba ni ya nani, unaweza tuwekea hati ?Sina huo muda wa kukutajia, humu nyuzi za watu wakilalamika huo usanii wa dogo zipo..
Mimi sijazungukwa na watu wajinga watapeliwe na katoto ka 94 kalikodisco pale UDSM..
Bila ya kuhamisha mjadala, kwanini aweke nyumba za watu aseme kawajengea wazazi wake?? Na kwanini mwenye nyumba alivyomuomba aitoe hiyo picha alimblock na si kumwelewesha nia yake??
Hiyo laki bado haijaisha πππππ
Chuki zako ni bure, kujifariji kusikokua na maana, hakuna mtu yeyote aliewah tapeliwa na OntarioSina huo muda wa kukutajia, humu nyuzi za watu wakilalamika huo usanii wa dogo zipo..
Mimi sijazungukwa na watu wajinga watapeliwe na katoto ka 94 kalikodisco pale UDSM..
Bila ya kuhamisha mjadala, kwanini aweke nyumba za watu aseme kawajengea wazazi wake?? Na kwanini mwenye nyumba alivyomuomba aitoe hiyo picha alimblock na si kumwelewesha nia yake??
Hiyo laki bado haijaisha
Boy umekula kilomoja niachie 10K tu mwanao.Chuki zako ni bure, kujifariji kusikokua na maana, hakuna mtu yeyote aliewah tapeliwa na Ontario
watu wanapigana watoke Kwenye umasikini ww unapigana vita ambayo hata mhusika hayupo, acheni maneno ya kulishana na kusambaza ujinga, hakuna mtu yeyote yule aliewah tapeliwa na Ontario.. tutafute pesa, huu ujinga na mawazo ya kamasikini havisaidii kitu
Suala la nyumba huliongelei au sio πππππChuki zako ni bure, kujifariji kusikokua na maana, hakuna mtu yeyote aliewah tapeliwa na Ontario
watu wanapigana watoke Kwenye umasikini ww unapigana vita ambayo hata mhusika hayupo, acheni maneno ya kulishana na kusambaza ujinga, hakuna mtu yeyote yule aliewah tapeliwa na Ontario.. tutafute pesa, huu ujinga na mawazo ya kamasikini havisaidii kitu
Huo ni uzi bro bado kuna maelezo yanaendelea huko chini