Fahamu zaidi kuhusu Mr Kuku

Hakuna biashara ya hivyo ndugu yangu...ww nikikupa 7m as running capital plus infrastructure hutaweza kutengeneza hiyo faida ya 49m kwa mwaka. Tuanzie hapo.

1.Je alikuwa anawalipa wawekezaji?

2.Kama ndiyo, Je aliwezaje kuwalipa hao watu kwa mfumo ambao haupo?

3. Je ni pesa ya kuku kama alivyodai ?

Kwa maoni yangu kama kweli (mind you nimeona testimonial moja tu YouTube ya mtu aliyelipwa) Kama kweli alikuwa anawalipa wawekezaji basi alitumia pesa za wawekezaji wapya kulipa wa zamani. Usiniulize kuhusu kuku wale waliokuwa wanafugwa, faida yake kamwe haiwezi kuwalipa wawekezaji NEVER EVER. NI MAKUSANYO MAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI.

JE KUNA TATIZO KATIKA MFUMO HUU SERIKALI SI WANGEMUACHA AENDELEE KUKUSANYA HELA KWA WATEJA WAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI? WEWE UNAONAJE?
Kuku ilikuwa zugia tu. But alichokuwa anafanya ni DECI tu. Anawazungushia pesa yao wenyewe.
 
Juzi juzi kapiga picha yupo kwenye shamba la watu la mapapai anajifanya ni lake kuna mtu anamuhoji anasema ana hekari karibu 500 za mipapai atatoa somo hahahaa nikacheka sana , Ontario kashaonja pesa ya utapeli hawezi kuacha utapeli....Yaani anapiga picha kiujanja ujanja ili hata kama lake ni ngumu kulijua maana anaficha ficha uhalisia halisi ,anasema tu hapa ni mwanzo linaenda hadi kule halafu hawamove kabisa!! Hapo atataka kufanya elimu ya kupanda mipapai watu watatoa pesa na kusepa na kijiji.

Swali

1)Mkuu una ushahidi wowote kuwa sio lake ??

2)Kwanini unaendelea kumfuatilia mtu taperi, je unampenda ??
 
Ontario ni tapeli tu...twitter kasema miezi michache iliyopita alikuwa anakaa hostel kimara hana kitu halafu mtu anakuja humu kumtetea
Kukaa hostele miezi michache kuna link gani na utaperi sasa.

Alafu unamfatiliaje mtu taperi kila mtandao ??
 
Kuna watu wanauliza yeye anapata nn sio swali la muhimu....

Iko hivi yeye amebeba RISK 100% kwa maana hiyo ATAWALIPA WAWEKEZAJI NO MATTER WHAT

Sasa umeweka 7m baada ya Miezi 4 akakupa 14m..

Initial investment 7m

Faida 7m

Swali la yeye anapata nn linaanzia hapo kwenye hilo Gawio ulilopewa...

Mfano....Kabla ya kuamua kiwango cha gawio naamin walifanya profit projection ndipo wakaamua investors wapewe 100% miezi 4 na wao waliobeba dhamana labda wapate 100% ( win to win situation).

Profit projection
Ina maana tz nzima anauza kuku Yeye tu Kwamba lazima faida ije.
Kwanza atupe masoko yake ni ya wapi na wapi. Maana wala kuku sio wengi kihivyo kibongo bongo
 
Swali

1)Mkuu una ushahidi wowote kuwa sio lake ??

2)Kwanini unaendelea kumfuatilia mtu taperi, je unampenda ??

Jibu:-

1. Kwa aina ya upigaji picha wake ni wa kuficha ficha ,yaani hataki kuonyesha surrounding environment vizuri zaidi ya kuonyesha mipapai na alikuwa hamove kwenda different places kwasisi tuliokaa na matapeli tunajua technics hizo.

2.Kama ni mtumiaji wa Twitter kama kuna mtu unamfollow akijibu au retweet thread zake basi unaona hata kama haujamfollow! Kwahiyo thread zake nyingi naziona na pia kwa kumsoma ninasaidia kuwasanua watu zaidi wasiiebiwe maana nikiona tu huwa baadhi ya watu nawaambia kwamba kuna watu watapigwa na Ontario kwa tweets zake za kuwajaza.
 
Kukaa hostele miezi michache kuna link gani na utaperi sasa.

Alafu unamfatiliaje mtu taperi kila mtandao ??
Kwahiyo naww unaamini mru mwenye shamba la hekari 500 anawrza kushindwa maisha mpk akakae hostel.

Uwe na hela usimiliki nyumba yako...ujengee wazazi wako ghorofa halaf ukakae hostel unalipa elf 40.
 
Jibu:-

1. Kwa aina ya upigaji picha wake ni wa kuficha ficha ,yaani ataki kuonyesha surrounding environment vizuri zaidi ya kuonyesha mipapai na alikuwa hamove kwenda different places kwasisi tuliokaa na matapeli tunajua technics hizo.

2.Kama ni mtumiaji wa Twitter kama kuna mtu unamfollow akijibu au retweet thread zake basi unaona hata kama haujamfollow! Kwahiyo thread zake nyingi naziona na pia kwa kumsoma ninasaidia kuwasanua watu zaidi wasiiebiwe maana nikiona tu huwa baadhi ya watu nawaambia kwamba kuna watu watapigwa na Ontario kwa tweets zake za kuwajaza.


Swali namba moja umeandika mataputapu mzee kubali kuna sheria za kuchua video.

Swali la pili unamsanua nani kuhusu utapeli kuna anayetumia mtandao asiyejua tuhuma zabutapeli kumuhusu ??
 
Kwahiyo naww unaamini mru mwenye shamba la hekari 500 anawrza kushindwa maisha mpk akakae hostel.

Uwe na hela usimiliki nyumba yako...ujengee wazazi wako ghorofa halaf ukakae hostel unalipa elf 40.
Jamaa sijaelewa kwanini ameuliza hilo swali ,hajui Ontario anasema yeye kwamba ni tajiri anaingiza mil 100 forex ,ana mashamba kibao ya mipapai ,ana mashamba ya mkonge mengi tu , ana biashara za kuku kibao ,ana miliki mandinga ya maana ,mijengo kibao ,amewajengea wazazi nyumba ya ghorofa lakini alikuwa amepanga mikocheni usd 1000 kodi ikamshinda akaenda kupanga hostel kwa elfu 40,swali kwanini asingeenda kukaa moja ya nyumba zake wakati akijipanga? Kama ana hela nyumba zake obvoius zitakuwa prime areas!
 
Kwahiyo naww unaamini mru mwenye shamba la hekari 500 anawrza kushindwa maisha mpk akakae hostel.

Uwe na hela usimiliki nyumba yako...ujengee wazazi wako ghorofa halaf ukakae hostel unalipa elf 40.
Sijui dhamira ya kunitandika maswali.

Nimekuomba link kati ya kukaa kimara na utaperi.
 
Swali namba moja umeandika mataputapu mzee kubali kuna sheria za kuchua video.

Swali la pili unamsanua nani kuhusu utapeli kuna anayetumia mtandao asiyejua tuhuma zabutapeli kumuhusu ??
Sheria za kuchukua video kwa shamba lako? Hahaaa wadanganye mazwazwa wenzako ,Ontario ni Tapeli.

Wajinga ni wengi hawaiishi na ndio maana baada ya kuwapiga watu humu JF amekimbia anakuja kwa ID nyingine ameenda kukamata mabumunda twita kwahiyo lazima tuwape elimu NYUMBU wasiendelee kutapeliwa na Ontario.
 
Jamaa sijaelewa kwanini ameuliza hilo swali ,hajui Ontario anasema yeye kwamba ni tajiri anaingiza mil 100 forex ,ana mashamba kibao ya mipapai ,ana mashamba ya mkonge mengi tu , ana biashara za kuku kibao ,ana miliki mandinga ya maana ,mijengo kibao ,amewajengea wazazi nyumba ya ghorofa lakini alikuwa amepanga mikocheni usd 1000 kodi ikamshinda akaenda kupanga hostel kwa elfu 40,swali kwanini asingeenda kukaa moja ya nyumba zake wakati akijipanga? Kama ana hela nyumba zake obvoius zitakuwa prime areas!

Mkuu ameyasema wapi hayo tuelezee nasisi tusiyefuatilia tupate viwili vitatu basi.
 
Sheria za kuchukua video kwa shamba lako? Hahaaa wadanganye mazwazwa wenzako ,Ontario ni Tapeli.

Wajinga ni wengi hawaiishi na ndio maana baada ya kuwapiga watu humu JF amekimbia anakuja kwa ID nyingine ameenda kukamata mabumunda twita kwahiyo lazima tuwape elimu NYUMBU wasiendelee kutapeliwa na Ontario.
Mkuu mbona unanitandika bakora tena tukiwa kwenye mahojiano naomba uwe huru tu.

Unamfuatilia sana inaonesha unashusha details zake bila kubanwa, nipo sahihi ??
 
Ni hasara kubwa kwake lakini siyo mtu mwenye pesa nyingi wala pesa kidogo ila ni mtu ambaye anashika ela mls 200, 100, 20 hakosi ndani ya miezi 3 -5
Nyingi sana hizo.Mm bado sina uhakika wa kukamata 200m hata baada ya miaka mi 4 toka sasa.
Honestly
 
Mkuu mbona unanitandika bakora tena tukiwa kwenye mahojiano naomba uwe huru tu.

Unamfuatilia sana inaonesha unashusha details zake bila kubanwa, nipo sahihi ??
Haupo sahihi , mtu tapeli nitampinga sehemu yeyote mkuu!! Simfatilii ila nikiona comment za utapeli lazima nitoe elimu kwa mifano na mmoja wa mifano ya matapeli ni ONTARIO.
 
Ume
Haupo sahihi , mtu tapeli nitampinga sehemu yeyote mkuu!! Simfatilii ila nikiona comment za utapeli lazima nitoe elimu kwa mifano na mmoja wa mifano ya matapeli ni ONTARIO.
Umeadika
1)kujengea wazazi wake
2)kuishi kimara
3)mashamba ya papai na mkonge
4)mandinga yake
5)kupanga mikocheni na figure za kodi

Then unatueleza humfuatilii unahisi sisi ni watoto wa shule.
 
Ume

Umeadika
1)kujengea wazazi wake
2)kuishi kimara
3)mashamba ya papai na mkonge
4)mandinga yake
5)kupanga mikocheni na figure za kodi

Then unatueleza humfuatilii unahisi sisi ni watoto wa shule.
Nishajibu hilo swali la kufatilia mkuu au ubongo kichwa cha panzi? Maana maswali yako unayarudia rudia tu.
 
Back
Top Bottom