AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,284
- 4,019
Kuku ilikuwa zugia tu. But alichokuwa anafanya ni DECI tu. Anawazungushia pesa yao wenyewe.Hakuna biashara ya hivyo ndugu yangu...ww nikikupa 7m as running capital plus infrastructure hutaweza kutengeneza hiyo faida ya 49m kwa mwaka. Tuanzie hapo.
1.Je alikuwa anawalipa wawekezaji?
2.Kama ndiyo, Je aliwezaje kuwalipa hao watu kwa mfumo ambao haupo?
3. Je ni pesa ya kuku kama alivyodai ?
Kwa maoni yangu kama kweli (mind you nimeona testimonial moja tu YouTube ya mtu aliyelipwa) Kama kweli alikuwa anawalipa wawekezaji basi alitumia pesa za wawekezaji wapya kulipa wa zamani. Usiniulize kuhusu kuku wale waliokuwa wanafugwa, faida yake kamwe haiwezi kuwalipa wawekezaji NEVER EVER. NI MAKUSANYO MAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI.
JE KUNA TATIZO KATIKA MFUMO HUU SERIKALI SI WANGEMUACHA AENDELEE KUKUSANYA HELA KWA WATEJA WAPYA KULIPA WAWEKEZAJI WA ZAMANI? WEWE UNAONAJE?