Fahamu yafuatayo kuhusu mdudu mende

Fahamu yafuatayo kuhusu mdudu mende

1.Ni mdudu anayeweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote.

2.Ni mdudu anayeweza kuishi wiki mbili bila ya kunywa maji.

3.Wakati moyo wa mwanadamu ni mmoja wenye chemba nne mende ana moyo mmoja wenye chemba kumi na tatu.

4.Baadhi ya mende wa kike hawaitaji wanaume kuweza kuzalisha mayai hupandana wao kwa wao na kutaga mayai katika kipindi chote cha maisha yao.

5.Mende ana uwezo wa kukaa kwa zaidi ya dakika 40 bila ya kupumua.

6.Mende ana uwezo wa kuishi zaidi ya wiki mbili akiwa amekatwa kichwa.

7.Ana uwezo wa zaidi ya mara 15 ya binadamu wa kuzuia miale mikali ya nuklia isimdhuru na kubaki hai

8.Mende ni mdudu asiye na mapafu.

9.Ana uwezo wa kuruka maili 3 kwa saa.
Ila kitu kimoja kanyimwa! Akili..! mende hana akili kabisa anapokuwa kajibanza darini anachowaza ni jinsi ya kulisukuma kabati lenye chakula ili lianguke kimwagike ale chote

Kingine alichonyimwa mende ni kinyaa, katika wadudu wasio na kinyaa huyu ni mmojawapo

Kingine ni harufu, mende haogopi harufu ana uwezo wa kuishi kwenye choo kinachonuka sana na bado akafanya yake tena bila kupata tatizo lolote

-uchafu! Mende ana allergy na usafi sehemu safi humkuti mende na ukimuweka hapo atateseka mpaka kifo

-Resistance ya magonjwa mende haugui kipindupindu malaria ebola wala ugonjwa wowote

La mwisho; watu wengi hukasirika wakifananishwa na mende lakini pia mabasha kwa jina lingine huitwa mende
 
Mm napenda Ile staili yao ya kufa inavyosaidia katika kugegedana
 
Madume je hayalambani Kama majike namba 5
 
1.Ni mdudu anayeweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote.

2.Ni mdudu anayeweza kuishi wiki mbili bila ya kunywa maji.

3.Wakati moyo wa mwanadamu ni mmoja wenye chemba nne mende ana moyo mmoja wenye chemba kumi na tatu.

4.Baadhi ya mende wa kike hawaitaji wanaume kuweza kuzalisha mayai hupandana wao kwa wao na kutaga mayai katika kipindi chote cha maisha yao.

5.Mende ana uwezo wa kukaa kwa zaidi ya dakika 40 bila ya kupumua.

6.Mende ana uwezo wa kuishi zaidi ya wiki mbili akiwa amekatwa kichwa.

7.Ana uwezo wa zaidi ya mara 15 ya binadamu wa kuzuia miale mikali ya nuklia isimdhuru na kubaki hai

8.Mende ni mdudu asiye na mapafu.

9.Ana uwezo wa kuruka maili 3 kwa saa.
Hao jamaa pamoja na ndugu zake kwenye class insecta ndio ambao ni the most successful group in animal kingdom..
 
Hii namba nne bado imenichanganya,,kwa hio hao majike wana jinsia zote mbili(hermaphrodite) ?? Au wanapopandana wanacopulate vipi?? Nini kinachoendelea pale wanapopandana?
 
Hii namba nne bado imenichanganya,,kwa hio hao majike wana jinsia zote mbili(hermaphrodite) ?? Au wanapopandana wanacopulate vipi?? Nini kinachoendelea pale wanapopandana?
Nadhani alikuwa anamanisha kitendo cha perthenocapy..
 
Back
Top Bottom