Fahamu yafuatayo kuhusu mdudu mende

Fahamu yafuatayo kuhusu mdudu mende

Anasifa nyingine ya kupendwa kufanyiwa dissection sijui kwanini hawakumchagua nguruwe
 
Sijui kwa nini sijiwahi kuua mende!nikimuona huwa namwacha aende zake,nadhani atakuwa mchawi pia.
 
the founders of the fomous style ya mgegedo 'kifo cha mende'
1454435241178.jpg
1454435245979.jpg
baba style
 
Mende ni mdudu ambaye hana thamani katika maisha ya mtanzania ndo maana anapigwa vita vikali na Watanzania, pole kwa familia zinazosumbuliwa na wadudu mende.
 
Anasifa nyingine ya kupendwa kufanyiwa dissection sijui kwanini hawakumchagua nguruwe
Dissection wanatumia sana mende,panya na chura nafkiri kwa sababu ya urahisi wa kupatikana na unafuu wa gharama.
 
Mende ni mdudu ambaye hana thamani katika maisha ya mtanzania ndo maana anapigwa vita vikali na Watanzania, pole kwa familia zinazosumbuliwa na wadudu mende.
Nafkiri kwa sababu ya madhara yake kwa jamii.
 
Mende ambaye baadhi ya mabinti wanapiga kelele wakimuona kama vile wameona jini
 
Mende ambaye baadhi ya mabinti wanapiga kelele wakimuona kama vile wameona jini
Vile anavyotembea ile miguu na zile antenna zake vinawanyevuanyevua[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom