hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 6,172
- 14,029
1.Ni mdudu anayeweza kuishi zaidi ya mwezi bila ya kula chakula chochote.
2.Ni mdudu anayeweza kuishi wiki mbili bila ya kunywa maji.
3.Wakati moyo wa mwanadamu ni mmoja wenye chemba nne mende ana moyo mmoja wenye chemba kumi na tatu.
4.Baadhi ya mende wa kike hawaitaji wanaume kuweza kuzalisha mayai hupandana wao kwa wao na kutaga mayai katika kipindi chote cha maisha yao.
5.Mende ana uwezo wa kukaa kwa zaidi ya dakika 40 bila ya kupumua.
6.Mende ana uwezo wa kuishi zaidi ya wiki mbili akiwa amekatwa kichwa.
7.Ana uwezo wa zaidi ya mara 15 ya binadamu wa kuzuia miale mikali ya nuklia isimdhuru na kubaki hai
8.Mende ni mdudu asiye na mapafu.
9.Ana uwezo wa kuruka maili 3 kwa saa.
2.Ni mdudu anayeweza kuishi wiki mbili bila ya kunywa maji.
3.Wakati moyo wa mwanadamu ni mmoja wenye chemba nne mende ana moyo mmoja wenye chemba kumi na tatu.
4.Baadhi ya mende wa kike hawaitaji wanaume kuweza kuzalisha mayai hupandana wao kwa wao na kutaga mayai katika kipindi chote cha maisha yao.
5.Mende ana uwezo wa kukaa kwa zaidi ya dakika 40 bila ya kupumua.
6.Mende ana uwezo wa kuishi zaidi ya wiki mbili akiwa amekatwa kichwa.
7.Ana uwezo wa zaidi ya mara 15 ya binadamu wa kuzuia miale mikali ya nuklia isimdhuru na kubaki hai
8.Mende ni mdudu asiye na mapafu.
9.Ana uwezo wa kuruka maili 3 kwa saa.