Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,059
- 15,532
Wiring ya 3 phase inatumia earthrod kubwa inafika hadi laki 2 na 50 dukaniUfafanuzi kidogo Mkuu.Vp kwa nyumba ya three phase
Wiring ya 3 phase inatumia earthrod kubwa inafika hadi laki 2 na 50 dukaniUfafanuzi kidogo Mkuu.Vp kwa nyumba ya three phase
Asante Loki.Nilifunga ya shaba ya 120000 kuna tatizo?Wiring ya 3 phase inatumia earthrod kubwa inafika hadi laki 2 na 50 dukani
Shaba ndio copper yenyeweAsante Loki.Nilifunga ya shaba ya 120000 kuna tatizo?
liSamahani naomba ufafanuzi, kuna aina ngapi za wateja kutokana na matumizi ya umeme kwa mwezi na bei ya umeme kulingana na matumizi ya mtu kwa mwezi
UBAYA WAKE NINI MKUUMkuu mita za remote ndio mbaya sana mkuu shukuru mungu unayo ya kizaman dhou ipo juu
Asante MkuuShaba ndio copper yenyewe
Ila mita zile ambazo umeme ukibaki kidogo zinapiga alarm nzuri sana....maana kuna nyumba nimehamia ila mita yake haipigi alarm unashangaa tu umeme umeisha afu upo katikati ya game usiku inaboa sana
Kutokana na tecnologia inavyo badirika na mambo hibadirika. Energy sever ni jina maarufu kwa vitumia umeme kidogo. Mf. Kama kunakifaa kinatumia umeme kidogo kuliko kifaa kama hichohicho cha kizamani basi kifaa hicho kinaweza itwa energy sever.... Inashauriwa Mteja kutumia vifaa vinavyotumia umeme mdogo (Energy Server), pia inashauriwa kuepuka vifaa vya mitumba sababu vingi vinatumia umeme mwingi.
Hizo energy server ndiyo zikoje mkuu?
Mtaje unayemtakanaweza kupata namba yako ya simu personal au email? ninahitaji ushauri wa kina maana nina tatizo kubwa.
ni mleta mada TANESCOMtaje unayemtaka
Kwa wewe hapo haiwezekani bei hiyo ni kwa wale watumiaji wadogo units 0-75Mimi natumia kama uniti 30 tuu kwa mwezi namiye nitafanyaje niwe nalipa Tsh 100 kwa unit?