Uzalendo Installer
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 5,303
- 8,729
Hizi ni hadithi tu za uongo...Marekani wanajiona smart sana kwa sababu watu wengi wameacha ku-reason.
1: kulipua marekani si kazi rahisi na je hilo kombola Osama alikuwa nalo moja tu..mbona hajalipua sehem nyingine?
2: marekan alitoa mafunzo ya kijeshi na kulipa mishahara, yeye alipata nini?..There is no free lunch.
3: kakaa miaka 20 alaf anaondoka, kaiachaje kiuchumi au atawasingizia taleban
#chanjo kama haitibu, yanini sasa
1: kulipua marekani si kazi rahisi na je hilo kombola Osama alikuwa nalo moja tu..mbona hajalipua sehem nyingine?
2: marekan alitoa mafunzo ya kijeshi na kulipa mishahara, yeye alipata nini?..There is no free lunch.
3: kakaa miaka 20 alaf anaondoka, kaiachaje kiuchumi au atawasingizia taleban
#chanjo kama haitibu, yanini sasa