101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Je wajua?
Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita, kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea. Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa kuishi siku 3 akiwa amekatwa kichwa, anaweza kutembea na kuhisi kama mbele kuna hatari.
Kuna vitu ambavyo vinamfanya Mende aishi akiwa hana kichwa, sababu kubwa ni kutokuwa na "Moyo" ambapo kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu mwilini.
Hivyo Mende hana damu kama ilivyo pia kwa Nzi ambaye pia anauwezo huo wa kuishi akiwa hana kichwa. Na anakuwa na uelekeo mzuri zaidi akiwa anapaa tofauti na akiwa na kichwa.
Pia ni mdudu msafi sana, akiguswa na binadamu huenda kujisafisha anaamini amechafuliwa, hukaa miezi hata 3 bila kula wala kunywa
NB:- Kuamini haya inakupasa ufanye majaribio kwa viumbe hivyo.
Credit @biturojr
Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita, kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea. Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa kuishi siku 3 akiwa amekatwa kichwa, anaweza kutembea na kuhisi kama mbele kuna hatari.
Kuna vitu ambavyo vinamfanya Mende aishi akiwa hana kichwa, sababu kubwa ni kutokuwa na "Moyo" ambapo kazi kubwa ya moyo ni kusukuma damu mwilini.
Hivyo Mende hana damu kama ilivyo pia kwa Nzi ambaye pia anauwezo huo wa kuishi akiwa hana kichwa. Na anakuwa na uelekeo mzuri zaidi akiwa anapaa tofauti na akiwa na kichwa.
Pia ni mdudu msafi sana, akiguswa na binadamu huenda kujisafisha anaamini amechafuliwa, hukaa miezi hata 3 bila kula wala kunywa
NB:- Kuamini haya inakupasa ufanye majaribio kwa viumbe hivyo.
Credit @biturojr