Fahamu kuhusu kinyamkera

Fahamu kuhusu kinyamkera

Dogoli kinyamkela

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2024
Posts
2,144
Reaction score
3,459
Habari ndugu zangu hapa jukwaani pia Eid Mubarak.

Natumai umzima wa Afya uku unakula Eid yako vizur kabisa Naam leo nawaleteya kinyamkela nataka ujue kinyamkela ni kitu cha namna gani

Kinyamkela ni nini mzimu wa kizaramo wengine wanasema.

Kinyamkera ni mzimu ambao hutumiwa kwa shuguli kama matambiko kama kuepusha maradhi kuomba mafanikio maishani pia kuimarisha uko, ndugu hukutana na kujuana pia huzalisha upendo ndani yenu nk.

Matambiko haya hufanyika kwa njia mbili yapo matambiko makubwa na madogo madodo mfano

Ukienda kwa wazaramo ukikuta kibanda nje kidog sana apo ndipo kibanda cha kinyamkela apo ndipo matambiko madogo ufanya apo either mtu mmoja akiamua kufanya anafanya apo au family unafanya apo aya ndio madogo madogo

Dogoli la ngoma kupitia mkoba wa kiganga wa jadi apa ndipo unakuta watu kibao wenye Asili moja Dogoli maana yake ngoma

Pia ufanywa katika kibanda cha kinyamkela ambacho ufungwa kwenye mti mkubwa unao itwa mvule aya ndio makubwa zaid

Pia hiki kibanda cha kinyamkela kina mkoba wa Asili ya uganga wa jadi ambao unalisichwa kizazi na kizazi so uwezi kuikimbia Asili endapo imekufata kwer

Twendeni kwa wazaramo tukalikwere lelo 😄😄
 
Habari ndugu zangu hapa jukwaani pia Eid Mubarak.

Natumai umzima wa Afya uku unakula Eid yako vizur kabisa Naam leo nawaleteya kinyamkela nataka ujue kinyamkela ni kitu cha namna gani

Kinyamkela ni nini mzimu wa kizaramo wengine wanasema.

Kinyamkera ni mzimu ambao hutumiwa kwa shuguli kama matambiko kama kuepusha maradhi kuomba mafanikio maishani pia kuimarisha uko, ndugu hukutana na kujuana pia huzalisha upendo ndani yenu nk.

Matambiko haya hufanyika kwa njia mbili yapo matambiko makubwa na madogo madodo mfano

Ukienda kwa wazaramo ukikuta kibanda nje kidog sana apo ndipo kibanda cha kinyamkela apo ndipo matambiko madogo ufanya apo either mtu mmoja akiamua kufanya anafanya apo au family unafanya apo aya ndio madogo madogo

Dogoli la ngoma kupitia mkoba wa kiganga wa jadi apa ndipo unakuta watu kibao wenye Asili moja Dogoli maana yake ngoma

Pia ufanywa katika kibanda cha kinyamkela ambacho ufungwa kwenye mti mkubwa unao itwa mvule aya ndio makubwa zaid

Pia hiki kibanda cha kinyamkela kina mkoba wa Asili ya uganga wa jadi ambao unalisichwa kizazi na kizazi so uwezi kuikimbia Asili endapo imekufata kwer

Twendeni kwa wazaramo tukalikwere lelo 😄😄
Duuh...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom