City Of Lies
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 5,768
- 7,411
Huo mstari wa mwisho ni wachache sana watakaokubaliana nawe mkuu. Lakini ndio ukweli wenyewe.Hakuna kitu kama hicho. Bwana harusi na bibi harusi wao wana kosa gani?? Huyu kajinyonga kwa upumbavu wake mwenyewe, na kama kosa ni kuachwa na huyo bwana wake, na yeye angeendelea kusoma, kisha atafute wa kumuoa na kuanza maisha yake upya, na siyo kujinyonga na kuacha laana za kipumbavu kwa watu waliochagua kuishi.
Hata siku moja laana ya mpumbavu haimpati mtu.
