Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,814
- 15,558
Iweje chanzo na huyo jamaa alishajitoa tangu mimba mpaka myaka mitatu bado tu awe chanzo? uwozo huoChanzo cha yote hayo ni huyo aliyekuwa Mwanaume wake.
Iweje chanzo na huyo jamaa alishajitoa tangu mimba mpaka myaka mitatu bado tu awe chanzo? uwozo huoChanzo cha yote hayo ni huyo aliyekuwa Mwanaume wake.
Yangekuwa matamu hata usingekuwa na maneno makali.......
Ye Mwenyewe Ana Msongo, Anajifariji TuKuna watu ukiona hata wanavyo andika utajua kweli ana matatizo..Ye Mwenyewe Ana Msongo, Anajifariji Tu
Kabisa Mkuu, Hata Kabla HujamuonaKuna watu ukiona hata wanavyo andika utajua kweli ana matatizo..
Ngoja ajifariji mwenyewe...
Hapa tuzungumzie mtu kuvua pichu kwa hiari yake halafu baadae kusema aasahhh bahati mbaya n.k mengine ni matokeo
Aisee binti yangu ata azalishwe kila mwaka nitaendelea kumpenda tu na kulea wajukuu asije kupata stress kama izi maana inawezekana pia wazazi wa uyo binti walichangia kumuongezea mawazo
Kujinyonga iwe ni kwa sababu yeyote ile ni ujinga na upumbavu wa kupitiliza. Kila Mwanadamu anapaswa kutambua kuwa hakujileta hapa duniani kwa hiari yake mwenyewe na hivyo pia hawezi kujiondoa hapa duniani kwa hiari yake mwenyewe.
Hata kama mambo ni magumu kiasi gani, unakomaa nayo hivyo hivyo na siku ya kuondoka ikifika, basi unaondoka, lakini siyo kwa kujiua.