Wakujilipua
JF-Expert Member
- May 5, 2018
- 1,591
- 1,391
au kama bado hujaelewa rejea mwanzoni mwa hii thread ujifunze namna ya kuinstall modsmzee fanya yafuatayo
copy hiyo pjk.scs kisha paste kwenye document/euro truck simulator 2/mod
hahahahhaWakuu napataje ramani na mabasi ya tz for free nimegusa sehemu naambiwa elfu 30
Fanya hivi mkuu
Ingia google andika Bit torrent download for window(andika window yako hapo)
Kisha ita tafuta na kukupa link ya moja kwa moja hadi kwenye ko download
Nadhan application sio kubwa ikisha downlod install hiyo program kisha iache
Kuna link ziko huku za games za ets2 zitafute au muombe @kata shime officiar @kcamp wakupe imgawa zipo humu tena mim nimepewa juzi tu ya 1.40
Ukifungua hiyo link ita kupeleka moja kwa moja kwenye web ya hiyo game
Na utaona pale torrent zimejipanga
Uki click kwenye u torrent uta ok then bit torrent itaanza ku downlod geme yenyewe
Hilo faili la u torrent nalipatia wapi mkuu...Mana nashindwa ata kudownlod movie
hahahahha
mzee ndo hivyo haikwepeki hiyo lazima uchangie kidogo ili kazi iendelee.
Watu wanapenda vya kamseleleko...hahahahha
mzee ndo hivyo haikwepeki hiyo lazima uchangie kidogo ili kazi iendelee.
Anakutumia kama file..Na ukishalipia inakuaje yaan inakuaje kuaje
Coz hua tuna download kama mod sasa apo je?
kwa kifupi ni hiviNa ukishalipia inakuaje yaan inakuaje kuaje
Coz hua tuna download kama mod sasa apo je?
#UTARATIBU wangu ni kutokua na UTARATIBU#
Eeh mkuu wengine ndo tulivo..#UTARATIBU wangu ni kutokua na UTARATIBU#
nimeielewa hii caption
naomba nipigilie msumali hapaAnakutumia kama file..
Inshort ni kuchangia tuu, so kuuza in search.. Maan kazi ya kutengeneza ni ngumu inahitaj ujuzi ko so mbaya kumchangia kijana anaejishughulisha kuwaletea vitu vizuri.
Yan ukikosea ka code kamoja mzigo wote una crashnaomba nipigilie msumali hapa
aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.
sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.
nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee
View attachment 1869401
View attachment 1869402
View attachment 1869403
na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.
View attachment 1869416
View attachment 1869416
View attachment 1869416
naomba nipigilie msumali hapa
aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.
sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.
nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee
View attachment 1869401
View attachment 1869402
View attachment 1869403
na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.
View attachment 1869416
View attachment 1869416
View attachment 1869416
Nipo na rus map hapa mitaa flan aiseee kisanga sana hizo njiaUkiacha hii kunaiyo rus map nikisanga
Pita YouTube search pixel ets 2 utaona channel moja inapost hizo map nyingi sana...mim ndo napatia uko skuizView attachment 1849984
Mzigo unaingia 1.40!
Naombenn map zile rough wazee
@kcamp @kata shime officiar za 1.40
Hivi katashime map ime leak au uliiachia we mwenyew tu?naomba nipigilie msumali hapa
aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.
sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.
nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee
View attachment 1869401
View attachment 1869402
View attachment 1869403
na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.
View attachment 1869416
View attachment 1869416
View attachment 1869416
Aliachia mwenyewe.Hivi katashime map ime leak au uliiachia we mwenyew tu?
Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
Unaweza niambia nifanyaje na mm ni generati zangunaomba nipigilie msumali hapa
aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.
sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.
nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee
View attachment 1869401
View attachment 1869402
View attachment 1869403
na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.
View attachment 1869416
View attachment 1869416
View attachment 1869416