Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

Fanya hivi mkuu
Ingia google andika Bit torrent download for window(andika window yako hapo)
Kisha ita tafuta na kukupa link ya moja kwa moja hadi kwenye ko download
Nadhan application sio kubwa ikisha downlod install hiyo program kisha iache
Kuna link ziko huku za games za ets2 zitafute au muombe @kata shime officiar @kcamp wakupe imgawa zipo humu tena mim nimepewa juzi tu ya 1.40
Ukifungua hiyo link ita kupeleka moja kwa moja kwenye web ya hiyo game
Na utaona pale torrent zimejipanga
Uki click kwenye u torrent uta ok then bit torrent itaanza ku downlod geme yenyewe
 
Na ukishalipia inakuaje yaan inakuaje kuaje
Coz hua tuna download kama mod sasa apo je?
Anakutumia kama file..
Inshort ni kuchangia tuu, so kuuza in search.. Maan kazi ya kutengeneza ni ngumu inahitaj ujuzi ko so mbaya kumchangia kijana anaejishughulisha kuwaletea vitu vizuri.
 
ets2_20210703_121834_00.png
 
Na ukishalipia inakuaje yaan inakuaje kuaje
Coz hua tuna download kama mod sasa apo je?
kwa kifupi ni hivi
ukihitaji hiyo modfication kwa mfano ni map au bus utakuta kwa chini kaweka namba za mawasiliano either umcheki wahtsapp au umpigie simu then uongee nae,
sasa ukishafanya mazungumzo nae atakupatia maelekezo kuwa ufanye nini ili uipate hiyo mod.
 
Anakutumia kama file..
Inshort ni kuchangia tuu, so kuuza in search.. Maan kazi ya kutengeneza ni ngumu inahitaj ujuzi ko so mbaya kumchangia kijana anaejishughulisha kuwaletea vitu vizuri.
naomba nipigilie msumali hapa

aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.

sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.

nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee

Shot 006.png


Shot 007.png


Shot 009.png


na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.

[SCS] Fuel Cistern (willig).png


[SCS] Fuel Cistern (willig).png


[SCS] Fuel Cistern (willig).png
 
naomba nipigilie msumali hapa

aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.

sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.

nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee

View attachment 1869401

View attachment 1869402

View attachment 1869403

na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.

View attachment 1869416

View attachment 1869416

View attachment 1869416
Yan ukikosea ka code kamoja mzigo wote una crash
😁😀😀
 
naomba nipigilie msumali hapa

aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.

sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.

nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee

View attachment 1869401

View attachment 1869402

View attachment 1869403

na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.

View attachment 1869416

View attachment 1869416

View attachment 1869416

eh
 
naomba nipigilie msumali hapa

aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.

sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.

nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee

View attachment 1869401

View attachment 1869402

View attachment 1869403

na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.

View attachment 1869416

View attachment 1869416

View attachment 1869416
Hivi katashime map ime leak au uliiachia we mwenyew tu?

Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
naomba nipigilie msumali hapa

aisee kwa kifupi hizi mod hususa za ramani ukiona mtu anadrive ndinga unaona raha lakini kimbembe alichokutana chomtengenezaji ni hatari.

sasa fikilia unapewa li dude kama hili uanza kuiunganisha njia sijui unaanzia wapi na wala unaishia wapi.

nashauli kama unachochote kile unaweza mchangia dv ili kazi iendelee

View attachment 1869401

View attachment 1869402

View attachment 1869403

na hapo bado kazi kama zote bado zinakusubili mojawapo ni kama hii yaani ukikosea kidogo tu ramani haisomi.

View attachment 1869416

View attachment 1869416

View attachment 1869416
Unaweza niambia nifanyaje na mm ni generati zangu
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom