Wengine waingizaji tu akili kumkichwa
Tupe na za wanaume tujue...
hayo yalikuwa karne iliyopita saiz ni full usanii... na wengine ni mazoea tu anaweza kukufanyia hivyo kama rafiki tu na hakuna cha zaidi.
its bcoz u pay her billz, suckerMapenzi ya kwenye tamthilia hayo ingia kitaa u experience mwenyewe. U gon kno its all about the gadem money.
Wanawake wenye true love ni very few like 2 out of every 10.
Thanx God my sweet heart loves me true. Lol