Fahamu athari ya jina lako katika mapenzi

Fahamu athari ya jina lako katika mapenzi

Dah mkuu sidhani kama ulifika form 6 kama akili yako ni nzito kiasi hicho. Hapana shaka hisabati lilikuwa somo gumu sana kwako! Mbona vitu vipo clear sana.
Mi nimeishia latatu nikajichanganya mtaani, hivyo nahitaji ufafanuzi wa kina uambatane na mifano ya kutosha bila kusahau mjeledi. Kwakua Mimi ni mswahili/mwafrika.
 
Naon mapouvu kwa wale wa Ana A Bna B n.k Ila hakuna ukweli sidhani
 
MKUU HUU NAUCHUKULIA KAMA UONGO ULIO TUKUKA SANA NAJARIBU KUFIKIRIA KITU MIMI NAITWA N NA MKE WANGU ANAITWA S NA APO HESABU AIJATIMIA 7 Ila mpaka sasa nuna mwaka wa saba kwenye ndoa na hamna tatizo lolote vip unaweza niambia kitu zaidi nikuelewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom