Fahamu athari ya jina lako katika mapenzi

Fahamu athari ya jina lako katika mapenzi

Upuuz flani love calculator watoto wa zamani wamefanya sana hii kitu na hadi leo wapo hawajaolewa na hao waliokuta wako na %nyingi katika majina wamechezeana tuu hakuna kuolewa wala kuoa.
 
Mbona sijaelewa hii inakuaje kwa mfano Mimi ni I, mpenzi wangu ni A kwa calculate yako inaonesha hapo tuko na mapenzi tele ya A hasikii kitu kwangu vipi siku akiingia kwa 18 za N?
 
Hizi ni chai kama zilivyo chai nyingine, upendo kwa Mwenzi haunaga herufi sijui lini watanzania tunaacha kuchezewa akili kwa vitu vya kitoto namna hii
 
Wapemba wao wanatumia nyota,ukitaka kuposa binti yao huwa wanachungulia kwenye majina yenu yani jina lako na la binti yao,wakiona hayaendani lazima binti yao abadilishwe jina ili mmatch hata katika maisha yenu ya ndoa.


Hii habari ya uhakika siyo ya kusimuliwa,imewahi kumtokea jamaa yetu alienda kuoa Pemba,siku ya harusi msikitini wazee wakamuita jamaa wakamwambia binti yao wanataka aolewe kwa jina lingine ambalo wamelichagua wazee wa kipemba,jamaa alipewa sababu lakini hakuewaelewa..

Basi wazee wakaruhusu acha aolewe kwa jina lake la zamani,ilipita ndoa wakabahatika kupata watoto wawili.

Lakini maisha ya ndoa ilikuwa balaa ndani ya nyumba mpaka jamaa aliamua kubwaga manyanga chini aiseeee.
 
Wapemba wao wanatumia nyota,ukitaka kuposa binti yao huwa wanachungulia kwenye majina yenu yani jina lako na la binti yao,wakiona hayaendani lazima binti yao abadilishwe jina ili mmatch hata katika maisha yenu ya ndoa.


Hii habari ya uhakika siyo ya kusimuliwa,imewahi kumtokea jamaa yetu alienda kuoa Pemba,siku ya harusi msikitini wazee wakamuita jamaa wakamwambia binti yao wanataka aolewe kwa jina lingine ambalo wamelichagua wazee wa kipemba,jamaa alipewa sababu lakini hakuewaelewa..

Basi wazee wakaruhusu acha aolewe kwa jina lake la zamani,ilipita ndoa wakabahatika kupata watoto wawili.

Lakini maisha ya ndoa ilikuwa balaa ndani ya nyumba mpaka jamaa aliamua kubwaga manyanga chini aiseeee.

watu wanadharau hii elimu but ni elimu ya msingi mno ambayo imebakia kama siri kwa wazee wachache wa zamani
 
Hapo mahusiano yenu yatadumu na kuwa na mapenzi ya dhati.
Janet na John hawawezi iva chungu kimoja!!! Tena huu ndo mfano haswa ! Huyu mtoa mada inawezekana kabisa akawa sahihi!! Au mimi J na Y tunaivana kinoma ila J na L kilasiku timbwili tu. Hii elimu niliwahi kumsikia marehemu Sheikh Yahaya akiongea kupitia channel Ten.
Mwalimu nilita kujua vp kwa Ambo majina yao haya uwiano likn wanaishi
 
Hii ni illusion tu. Kuna watu wanapewa majina zaidi ya moja na wazazi wao, jina lipi atalitumia? Utapeli tapeli tu huu
 
Nanusa Harufu ya ramli chonganishi hapa!
 
Back
Top Bottom