TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,423
- 8,653
Mkulu yupo busy na ukarabati wa bombadia nyie mpo busy na huu upuuzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
maelezo yako butu! ongea kwa mfano, Wema vs Abduli , au Hamis Vs Fatima, PIA UNATAKIWA UELEZE JE Majina yenye kiswahili na kiingereza yanatambuliwaje kwenye formula yako mfano, Fatima>Fetty , Khamisi etc
Khadija na Juma,, au Amina na saidunaweza kunitajia majina mawili iwe unawafahamu au unawajua then kupitia majina yao ntakufafanulia nani mwenye mapenzi kwa mwenzake hope utaelewa zaidi
Huyu Amina kafa kaoza kwa huyo SaidKhadija na Juma,, au Amina na said
Fact yangu ni kwamba ulioongea hapo huo ni upuuzi na nia ya kuwaibia watu wenye matatizo ya mahusiano
Jina halipendi unaopenda ni moyo ungeniambia kuwa jina la mtu linaweza kusadifu tabia yake kidogo inamantiki japo hii dhana inaande kupotea kabisa
Ingekuwa hivyo kusingekuwa na maumivu ya mapenzi kwa sababu wote mnakuwa hamna hisia sababu ya majina hayajapishana herufi saba,
Mapenzi ni hisia inayoanzia kwenye macho hadi moyoni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jina huwa ni lipi? Kama mdau mmoja hapo juu alivyoeleza kuwa na majina zaidi ya mawili, vivyo hivyo hata mimi pia Jina langu Allency, nilivyoanza kazi wakaanza niita la ukoo likianza na N, wakati official name linaanza na I na lipo kwa passport na official docs, so hapo kwako jina langu ni lipi????
Sent from my iPhone using JamiiForums
NitafuteSijajua maana mimi na shemeji yako herufi zinafanana lol ngoja nitafute mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo wewe ni mguu kwa mguu na S hadi kwenye kiapo Aisee.Me in G wachumba zangu ni G,P,C,C,J,S,D,D sijui apo nani ntafika nae ndoani
Sent using Jamii Forums mobile app
Khadija na Juma,, au Amina na said
Majina? Mbona Kuna Watu Wana Majina Mawili Na Yote Yanatumika Na Kufahamika Kwa Wengi, Sasa Ni Jina Gani Linaathiriwa Na Hii Nadharia?
Huenda ikawa labda sababu mie nimepitwa herufi zaidi ya kumi na tano hukooo. Na ndio sababu bado tunadunda tu miaka nenda rudi.
Ila nawaza tu hivyo kipindi hicho unachokisemea hakuna wazee ambao mahusiano yao yaliishia njiani?
maelezo yako butu! ongea kwa mfano, Wema vs Abduli , au Hamis Vs Fatima, PIA UNATAKIWA UELEZE JE Majina yenye kiswahili na kiingereza yanatambuliwaje kwenye formula yako mfano, Fatima>Fetty , Khamisi etc
siyo ushirikina ndugu bali ni elimu tu,unaweza hata wewe ukakaa chini ukajua kwa kufanya practise na kujua ni ukweli au uongoUshirikina sii lazima ubebe tunguli