Fahamu aina za bearing, oil seal na fan belts

Nawatangazia fursa ya biashara kwa wamiliki wa viwanda, wamiliki wa malori na magari na wafanyabiashara wote na taasisi na kampuni mbali mbali nchini Tanzania.
Tunauza bearings, Oil seals na fan belts.

Simu- 0686-168624 , 0737-017866. tupo dar es salaam, tunakuletea mzigo popote pale ulipo.
wadau wa mikoani tunasafirisha mzigo.

Maelezo kwa ufupi:

Bearings;
Aina za Bearings;
1) Deep groove ball bearing, 2) Spherical roller bearing, 3) Needle roller bearings, 4) Thrust ball bearing
5) Tapper roller bearings 6) Plumber block bearings 7) Cylindrical roller bearings
8) Miniature bearings 9) wheel bearings 10) bush bearings 11) ac compressor bearings.

Oil seals
Aina za Oil seals
1) Shaft seals 2) V seals 3) Rubber fabric seals
kwa mimi nimeamua kutaja aina hizi 3 kwasababu ndio zina soko kubwa hapa tanzania, aina zingine wadau wanaweza kunisaidia.

Belts (Mikanda)
Aina za belts
zipo A,B,C,D,E, SPA,SPB,SPC,XPA,XPB,XPC. kwa A,B na C ni plain type, kwenye A ina urefu wa mita 12.5 mm. B. ni 17 mm na C ni 22 mm. D na E ni heavy duty type. D ina urefu wa 32mm na E ni 50 mm. SPA Mpaka SPZ ina maanisha upana wa mkanda unaongezeka. X maana yake mkanda una meno.

Kitu muhimu kwa mteja anayenunua vitu hivi mara kwa mara anatakiwa ajue part number ya sample yake. akitoa part number inakuwa rahisi kwetu kucheki bei kwenye system yetu na kumpatia bei. kama part number imefutika alete sample ili sisi tupime tujue vipimo vyake ili tumpatie bei.

ni ngumu sana kuweka price list ya spea hapa kwenye uzi huu kwasababu tuna spea za size 1000 tofauti tofauti. sasa sidhani kama wadau watakuwa na muda wa kusoma bei za spea 1000.
Njia rahisi, kama una part number ya sample nipigie simu ntakupa bei.

Kwa wadau wa mikoani tunasafirisha. Simu- 0686-168624 , 0737-017866.
View attachment 1198382View attachment 1198383View attachment 1198384View attachment 1198385View attachment 1198386View attachment 1198387View attachment 1198388View attachment 1198389View attachment 1198390View attachment 1198391View attachment 1258229
 
Mwenye hili tangazo bado yupo?2021 January ndio ilikuwa mwisho kupost humu kama upo reply hapa mkuu
 
Back
Top Bottom