Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
- Thread starter
- #21
Hilo lipo upande wa deni zuri maana anae kudai ndiye amekupa thamani ya kuwa Binadamu MtakatifuMimi Deni langu Mungu ndio ananidai lipo upande gani sasa bwana Kasomi
Hilo lipo upande wa deni zuri maana anae kudai ndiye amekupa thamani ya kuwa Binadamu MtakatifuMimi Deni langu Mungu ndio ananidai lipo upande gani sasa bwana Kasomi
Kwa mtazamo wangu kama una nyumba moja ukaenda kukopea benki hilo ni deni baya.lakini kama ni mtumishi nimekopa benki nikajenga nyumba nakatwa deni kwenye mshahara baada ya miaka sita likaisha hilo ni deni zuri kabisa.madeni mabaya ni haya kwenye bar au mikopo ya mtaa kwa riba.Tena benki zilipashwa kuhimiza watu kukopa mikopo ya nyumba za bei nafuu kuanzia Tsh 35ml hadi 50ml.Japo atakuwa amejisaidia kuepukana na Bei kubwa kwa wakati ujao, lakini deni hilo litabaki kusimamia kwenye upande wa deni baya(Hii ni kwamjubi wa hoja hapo juu).
Sababu ni kwamba deni atalipa nje ya alicho zalisha kutoka kwenye deni lake.
Umenichekesha kweli mkuu. DahBinafsi nipo kwenye madeni mabaya baada ya kukopa m pawa wanataka kunitoa roho.
Amini madeni mazuri yapo (Hapa naongelea mikopo).Sijawahi kupata ushauri kutoka kwa mtu yeyote wa karibu yangu kuhusu madeni mazuri, wote wananiambia ogopa mikopo kama ukoma, iwe bank au uchochoroni...madeni mazuri nimeyasikia leo!
Asante kwa nyongeza hiyo mkuuKwa mtazamo wangu kama una nyumba moja ukaenda kukopea benki hilo ni deni baya.lakini kama ni mtumishi nimekopa benki nikajenga nyumba nakatwa deni kwenye mshahara baada ya miaka sita likaisha hilo ni deni zuri kabisa.madeni mabaya ni haya kwenye bar au mikopo ya mtaa kwa riba.Tena benki zilipashwa kuhimiza watu kukopa mikopo ya nyumba za bei nafuu kuanzia Tsh 35ml hadi 50ml.