wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hiyo namba 5 ni wale wale akina kekuu na manka1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
Hiyo namba 5 ni wale wale akina kekuu na manka1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
Nilikuwa na demu Ana hasira kichizi, anatembea na kiwembe, akikasirika mashuka, magodoro na nguo zako nzuri ndio umevikosa hivyokuna mwingine akikasirika anataka umgegede tu mpka utoke povu au damu badala ya sperms
Na wengine wanakimbilia kulipua mtungi wa gesi
Wengine ukiwauzi wanaanza kuwakumbuka ex zake wa zamani wote...tena anakutajia kabisa utasikia "mwanamme gani wewe huna mbele wala nyuma...bora ningebaki kwa Mshana Jr tu au ningeolewa na yule msukuma matoroli Bujibuji
Hahahhaa alafu ndo utakuta mtoko unaouaminia kichizi....yeye anapiga nyembe duhNilikuwa na demu Ana hasira kichizi, anatembea na kiwembe, akikasirika mashuka, magodoro na nguo zako nzuri ndio umevikosa hivyo
Wa nini Mimi? Alikata kata jezi yangu ya Manchester City mwenyewe niliinunua £50 nisherehekee ubingwaHahahhaa alafu ndo utakuta mtoko unaouaminia kichizi....yeye anapiga nyembe duh
Bado upo nae??
Dah wakwangu ananuna hata wikiH
.
Kikawaida kila binadamu aliekamilika kaumbiwa hasira,hasira ambazo zipo Kwa maana na kazi maalumu kuliko vile ambavyo wengi hudhania kua hasira zipo Kwa ajili ya kuleta matatizo laa hasha..!!
Hasira ndizo zinatufanya tupambanie haki zetu has a pale tunapodhulumiwa,hasira ndizo zinatuondelea unyonge na kuonekana watu Wa kukubali
HahahahaDah wakwangu ananuna hata wiki
Kabla ya yote, mleta mada tuambie Kwanza wewe ni Me au Ke?
MeKabla ya yote, mleta mada tuambie Kwanza wewe ni Me au Ke?
Okay,
Wa kwangu anatoka nje ya ndoaH
.
Kikawaida kila binadamu aliekamilika kaumbiwa hasira,hasira ambazo zipo Kwa maana na kazi maalumu kuliko vile ambavyo wengi hudhania kua hasira zipo Kwa ajili ya kuleta matatizo laa hasha..!!
Hasira ndizo zinatufanya tupambanie haki zetu has a pale tunapodhulumiwa,hasira ndizo zinatuondelea unyonge na kuonekana watu Wa kukubali kushindwa..ila jambo LA muhimu LA kisisitiziwa ni kutozidisha kiwango.
Zifuatazo ni Baadhi ya hasira za wanawake....
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!
4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla ghafla inafuata!
5. Wako wanawake ambao, akichukia, Atakachokishika usipokimbia anakutandika na anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!
6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!
7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama yoote!
8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga mabegi na kuondoka!
9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!
10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala kimyaaa!!
11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo linakata, na pengine mpaka wanaharisha!
13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa. Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda sokoni.
14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka saaanaaa…. Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru kiurahisi.
Haya wanajamvi kazi kwenu wewe mwanamke uliopo humu hasira yako ipo namba ipi?? Na wewe mwanaume mwenza wako anaangukia kwenye namba ipi??
Pole Sana mkuuWa kwangu anatoka nje ya ndoa
Hasira za kwenye mahaba siyo? Au hata kazini?H
.
Kikawaida kila binadamu aliekamilika kaumbiwa hasira,hasira ambazo zipo Kwa maana na kazi maalumu kuliko vile ambavyo wengi hudhania kua hasira zipo Kwa ajili ya kuleta matatizo laa hasha..!!
Hasira ndizo zinatufanya tupambanie haki zetu has a pale tunapodhulumiwa,hasira ndizo zinatuondelea unyonge na kuonekana watu Wa kukubali kushindwa..ila jambo LA muhimu LA kisisitiziwa ni kutozidisha kiwango.
Zifuatazo ni Baadhi ya hasira za wanawake....
1. Kuna mwanamke ambaye akikasirika, huishia kulia tuu!
2. Lakini mwingine akichukia, anaongea saanaa muda wote hadi ikukere!
3. Mwanamke mwingine akikasirika, ananuna, haongei! Mtapishana tu kimya kimya. Mawasiliano kibubu-bubu. Shavu limejaa kama Kobra!
4. Mwingine akishikwa na hasira, period ya ghafla ghafla inafuata!
5. Wako wanawake ambao, akichukia, Atakachokishika usipokimbia anakutandika na anaweza kukuchoma na kisu,, majuto baadaye!
6. Mwanamke mwingine akikasirika, hasira zake zinaishia kwenye kuvunja-vunja vyombo. Au saa nyingine kugombeza-gombeza wafanyakazi na watoto! Dizaini hii, huwa ni wale waliokosa kukidhiwa haja za kihisia/ ndoa na waume zao!
7. Mwanamke mwingine akikasirika, Mtajuana kitandani panapo usiku, Nakwambia utaungama yoote!
8. Kuna wengine wakitibuliwa, hukimbilia kufunga mabegi na kuondoka!
9. Wapo ambao wakikasirika, wanagoma kupika!
10. Wengine wakichukia, wanaamua kwenda kulala kimyaaa!!
11. Wanawake wengine wakikasirika, tumbo linakata, na pengine mpaka wanaharisha!
13. Wako ambao wakishikwa na hasira, huingia kwenye maombi na kuugua kusikoweza kutamkwa. Uchungu ukiisha, wananawa uso na kwenda sokoni.
14. Yuko ambaye akishikwa na hasira, hucheka saaanaaa…. Hutajua kama amekasirika! Dizaini hii ni hatari sana, maana anaweza kukudhuru kiurahisi.
Haya wanajamvi kazi kwenu wewe mwanamke uliopo humu hasira yako ipo namba ipi?? Na wewe mwanaume mwenza wako anaangukia kwenye namba ipi??