Fahamu afya ya uti wako wa mgongo: MUHIMU!

Spinal Health

Member
Sep 19, 2023
12
6
Kuna vitu vitatu: Ubongo, Mishipa ya fahamu na Uti wa mgongo. Vitu hivi vinafanya kazi bega kwa bega na kwa kutegemeana sana, Kitu kimoja kati ya hivo kikipata shida basi mfumo mzima unavurugika na hapo ndipo magonjwa yanaanza kujitokeza, mara nyingi ni magonjwa yanayohusiana na uti wa mgongo.
1- Kupishana kwa pingili (Subluxation)
2- Kuingiliana kwa mishipa ya Fahamu (Nerve system interference)
Kutokana na vitu hivyo viwili, unaweza kupata shida yoyote kwenye mwili wako ikiwemo maumivu makali ya mgongo (Lower back pain) Maumvu makali ya kiuno/Nyonga, Maumivu ya shingo, Maumivu ya mabega na wakati mwingine yanaenda hadi kwenye maungio ya miguu. (Knees)
Sababu nyingine ni ajali ambazo tumepata muda mrefu uliopita, Au kuanguka kwa bahati mbaya, Au msongo wa mawazo kupitiliza (Stress) husababisha magonjwa ya uti mgongo.

Kama una maswali, majibu, hoja kuhusu Ekimu ya uti wa mgongo karibu tuambizane!
 
Tiba mkuu Kuna watu Baadhi wanateseka zaidi ya miaka miwili Kila siku mgongo unauma
Kliniki yetu iliyopo masaki ina daktari bingwa kwaajili ya uti wa mgongo tu! Kuna vipimo viwili na mazoezi ambayo huwa yanafanyia wagonjwa na husaidia sana, unaweza ukapitia kurasa zetu au ukapiga simu 0768 424 476 kwa taarifa zaidi
 
Kliniki yetu iliyopo masaki ina daktari bingwa kwaajili ya uti wa mgongo tu! Kuna vipimo viwili na mazoezi ambayo huwa yanafanyia wagonjwa na husaidia sana, unaweza ukapitia kurasa zetu au ukapiga simu 0768 424 476 kwa taarifa zaidi
Mna tibu kwa bima?
 
Nini chanzo cha tatizo hili?

Tunaomba tiba
Chanzo cha tatizo kama nilivosema hapo juu, Msongo wa mawazo ambao huathiri ubongo (Brain) na ubongo huathiri mishipa ya fahamu, na mishipa ya fahamu imepita kwenye uti wa mgongo, kwahivo hiyo ndo cheni. Wakati mwingine ni ajali za muda mrefu, kazi nzito, namna ya ukaaji (Posture) nk. Tiba ipo na ni mpya..unaweza kupiga simu 0768 424 476 kwa maelezo zaidi
 
Kwasasa bado kwasababu tiba ni mpya Tanzania. Hata hivyo bado tunafatilia suala la bima. Lakini kwa sasa hivi, tuna uwezo wa kumpa mgonjwa invoice itakayo msaidia kufatilia malipo yake kwa bima husika.
Duh ngoja nitajaribu kuja cheki quotation nione kama nitamudu.
 
Back
Top Bottom