Facts: Tatizo la Kalenda ya Dunia

Street brain

JF-Expert Member
Oct 24, 2022
486
606
๐—ง๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ

Lakini katika kuitumia kulitokea haja ya kuirekebisha. Watu wa kale waliikalia chini kalenda yao. Katika kuirejea ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ธ๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ. Waliona kulishafanyika makosa ya miaka ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฎ hivi, yaani kwamba kalenda yao ilitindikiwa miaka minne au sita hivi.

Kasoro hiyo waliigundua pale walipopambanisha miaka ya utawala wa Mfalme ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜€๐˜‚.

Waliona wameanzia kuhesabu kwenye mwaka wa ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—น๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ wakati walitakiwa kuanzia nyuma miaka minne au sita hivi. Waligundua kwamba walipaswa kurudisha nyuma miaka ya kuzaliwa Yesu hadi ikutane na utawala wa Mfalme Herode Mkubwa. Maana yake kwa kadiri ya kalenda yao, ๐—ž๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜๐—ผ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ kuliko mwaka ule iliposemekana kwa ujumla kwamba alizaliwa.

Udadisi wao ulianzia kwenye matumizi ya jina โ€œ๐—ฎ๐˜‚๐—ด๐˜‚๐˜€๐˜๐˜‚๐˜€โ€ linalotajwa na Luka katika 2:1-7. Kumbe, jina hilo โ€˜๐—ฎ๐˜‚๐—ด๐˜‚๐˜€๐˜๐˜‚๐˜€โ€™ lenye maana ya โ€œ๐—บ๐—ต๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜„๐—ฎโ€ kwa Kilatini, ni jina ambalo ๐—š๐—ฎ๐—ถ๐˜‚๐˜€ ๐—ข๐—ฐ๐˜๐—ฎ๐˜ƒ๐—ถ๐˜‚๐˜€ alijipa mnamo ๐Ÿฎ๐Ÿณ ๐—ž.๐—ž. Huyu alikuwa mtawala wa Dola ya Rumi, yaani Kaisari (Mfalme) tangu ๐Ÿฏ๐Ÿญ ๐—ž.๐—ž. mpaka ๐Ÿญ๐Ÿฐ ๐—•. ๐—ž. Na tena, Herodi Mkubwa anayetajwa kutaka kumuua Kristo, alikufa mnamo mwaka ๐Ÿฐ ๐—ž.๐—ž. Hivi kuipanga kalenda yao kwa kusema, ๐—ฌ๐—ฒ๐˜€๐˜‚ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿญ, kwa pale walipoanzia hesabu zao, yaani ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฅ๐—ผ๐—บ๐—ฎ, ilimaanisha kuzisahau tarehe hizi muhimu. ๐—ช๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐˜‚๐—บ๐—ฎ.

๐—ช๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ผ๐˜€๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ผ kwani iliwapasa wakati ule ule kurudi nyuma kwa miaka michache, ili Yesu azaliwe kabla ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ. La sivyo, uadui wao usingelikuwapo.

Kwa maelezo haya ya kosa walilofanya wapanga kalenda wa awali zile, mwaka huu 2022 ulipaswa uwe mwaka 2026 au 2027 au 2028. Kwa vyovyote, licha ya kuligundua kosa hilo la miaka minne au sita waliiacha kalenda yao iendelee. Na ndiyo kalenda inayoendelee hadi leo hii. Hii ndiyo kalenda iliyotupatia mwaka huu kama mwaka 2022 na hivi karibuni tutaingia mwaka 2023 badala ya mwaka 2027, 2028 au 2028. ๐—ฆ๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐˜‚, ๐˜๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ ๐˜๐˜‚.

๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜‚๐—ฏ๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ, ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ.Kama unaweza wewe kuitafsiri tarehe aliyozaliwa Yesu na kuipangia kalenda kamilifu jaribu! Lakini nadhani itakuwa kazi isiyo na tija yoyote. Zaidi ya hayo, tusahihishe kalenda leo kwa faida gani au kwa faida ya nani? Acha tuendelee tu!

๐—๐—ฒ, ๐—บ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚? ๐— ๐˜€๐—ถ๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚. Basi, tangu zamani kulikuwa na ugumu wa kupata mwaka aliozaliwa Yesu, sembuse siku na saa. Lakini, pamoja na ugumu huo wa kupata mwaka, mwezi, tarehe na saa kamili alipozaliwa Yesu, ni ukweli usiopingika kwamba, Yesu alizaliwa kama mtu. Ukweli huu hautegemei kujua kwetu mwaka, mwezi, siku na saa. Ni ukweli wa milele.

INAENDELEA...๐Ÿ”œ
 
๐—ง๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ

Lakini katika kuitumia kulitokea haja ya kuirekebisha. Watu wa kale waliikalia chini kalenda yao. Katika kuirejea ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ธ๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ. Waliona kulishafanyika makosa ya miaka ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฎ hivi, yaani kwamba kalenda yao ilitindikiwa miaka
Sasa hapa spoiler ni nini wakati hizi habari zinajulikana siku nyingi sana?

Pia, hii si kalenda ya dunia, ni Gregorian calendar.

Kuna sehemu nyingi za dunia wanatumia kalenda tofauti, waislamu wana kalenda yao inayohesabu miaka kutoka hijri, mwaka huu ni 1444.

Wachina wana kalenda yao.Wahindi wana kalenda yao. Waajemi wana kalenda yao.

Ni Waswahili tu ndio hatujui kalenda yetu.
 
Sasa hapa spoiler ni nini wakati hizi habari zinajulikana siku nyingi sana?

Pia, hii si kalenda ya dunia, ni Gregorian calendar.

Kuna sehemu nyingi za dunia wanatumia kalendar tofauti, waislamu wana kalenda yao inayohesabu miaka kutoka hijri, mwakanhuu ni 1444.

Wachina wana kalenda yao.Wahindi wana kalenda yao. Waajemi wana kalenda yao.

Ni Waswahili tu ndio hatujui kalenda yetu.
Atleast kwa mbali una ndani yake
 
Kalenda Ya Mungu Kwenye Bible .Ina miezi 12, na miezi yote 12 ina siku 30.

UNABII WA BIBLIA KUBADIRI MAJIRA NA SHERIA.

Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati.
Danieli 7:25


HAO MASHETANI ndio WAMEBADILI majira na sheria za Mungu.
1.kusali siku ya KWANZA YA JUMA BADALA YA SIKU YA SABA.

2.kubadili siku za Mwezi kutoka 30 za UUMBAJI hadi28, 29,30,31.

3. Mungu ALISEMA ikawa jioni ikawa Asubuhi. Siku inaanza saa kumi na mbili jioni, wao wameweka saa sita usiku.

SHETANI NI MBAYA SANA.
 
Soma kitabu Cha Daniel vizuri kabisa kinaelezea vizuri siku hadi TAREHE ya kuja Yesu kristo Duniani.

YANI Kuna UNABII WA SIKU Mwaka na Mwezi WA kuzaliwa. MWOKOZI WA ULIMWENGU.
 
๐—ง๐—ฎ๐˜๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—น๐—ฎ ๐—ž๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐˜†๐—ฎ ๐——๐˜‚๐—ป๐—ถ๐—ฎ

Lakini katika kuitumia kulitokea haja ya kuirekebisha. Watu wa kale waliikalia chini kalenda yao. Katika kuirejea ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐—ด๐˜‚๐—ป๐—ฑ๐˜‚๐—ฎ ๐—บ๐˜‚๐˜€๐—ต๐—ธ๐—ฒ๐—น๐—ถ ๐—ณ๐˜‚๐—น๐—ฎ๐—ป๐—ถ. Waliona kulishafanyika makosa ya miaka ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฎ hivi, yaani kwamba kalenda yao ilitindikiwa miaka minne au sita hivi.

Kasoro hiyo waliigundua pale walipopambanisha miaka ya utawala wa Mfalme ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ ๐—ฌ๐—ฒ๐˜€๐˜‚.

Waliona wameanzia kuhesabu kwenye mwaka wa ๐—บ๐—ฏ๐—ฒ๐—น๐—ฒ ๐˜‡๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ wakati walitakiwa kuanzia nyuma miaka minne au sita hivi. Waligundua kwamba walipaswa kurudisha nyuma miaka ya kuzaliwa Yesu hadi ikutane na utawala wa Mfalme Herode Mkubwa. Maana yake kwa kadiri ya kalenda yao, ๐—ž๐—ฟ๐—ถ๐˜€๐˜๐—ผ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฒ๐—บ๐—ฎ kuliko mwaka ule iliposemekana kwa ujumla kwamba alizaliwa.

Udadisi wao ulianzia kwenye matumizi ya jina โ€œ๐—ฎ๐˜‚๐—ด๐˜‚๐˜€๐˜๐˜‚๐˜€โ€ linalotajwa na Luka katika 2:1-7. Kumbe, jina hilo โ€˜๐—ฎ๐˜‚๐—ด๐˜‚๐˜€๐˜๐˜‚๐˜€โ€™ lenye maana ya โ€œ๐—บ๐—ต๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ถ๐—บ๐—ถ๐˜„๐—ฎโ€ kwa Kilatini, ni jina ambalo ๐—š๐—ฎ๐—ถ๐˜‚๐˜€ ๐—ข๐—ฐ๐˜๐—ฎ๐˜ƒ๐—ถ๐˜‚๐˜€ alijipa mnamo ๐Ÿฎ๐Ÿณ ๐—ž.๐—ž. Huyu alikuwa mtawala wa Dola ya Rumi, yaani Kaisari (Mfalme) tangu ๐Ÿฏ๐Ÿญ ๐—ž.๐—ž. mpaka ๐Ÿญ๐Ÿฐ ๐—•. ๐—ž. Na tena, Herodi Mkubwa anayetajwa kutaka kumuua Kristo, alikufa mnamo mwaka ๐Ÿฐ ๐—ž.๐—ž. Hivi kuipanga kalenda yao kwa kusema, ๐—ฌ๐—ฒ๐˜€๐˜‚ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐Ÿญ, kwa pale walipoanzia hesabu zao, yaani ๐—บ๐˜„๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐—ฎ๐—ป๐˜‡๐—ฎ ๐—บ๐—ท๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฅ๐—ผ๐—บ๐—ฎ, ilimaanisha kuzisahau tarehe hizi muhimu. ๐—ช๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ๐˜„๐—ฎ ๐˜„๐—ฎ๐—บ๐—ฒ๐—ถ๐˜€๐—ฎ๐—ต๐—ฎ๐˜‚ ๐—บ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐—บ๐—ถ๐—ป๐—ป๐—ฒ ๐—ฎ๐˜‚ ๐˜€๐—ถ๐˜๐—ฎ ๐—ป๐˜†๐˜‚๐—บ๐—ฎ.

๐—ช๐—ฎ๐—น๐—ถ๐—ท๐—ถ๐—น๐—ฎ๐˜‚๐—บ๐˜‚ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ผ๐˜€๐—ฎ ๐—ต๐—ถ๐—น๐—ผ kwani iliwapasa wakati ule ule kurudi nyuma kwa miaka michache, ili Yesu azaliwe kabla ๐—›๐—ฒ๐—ฟ๐—ผ๐—ฑ๐—ฒ ๐— ๐—ธ๐˜‚๐—ฏ๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ณ๐—ฎ. La sivyo, uadui wao usingelikuwapo.

Kwa maelezo haya ya kosa walilofanya wapanga kalenda wa awali zile, mwaka huu 2022 ulipaswa uwe mwaka 2026 au 2027 au 2028. Kwa vyovyote, licha ya kuligundua kosa hilo la miaka minne au sita waliiacha kalenda yao iendelee. Na ndiyo kalenda inayoendelee hadi leo hii. Hii ndiyo kalenda iliyotupatia mwaka huu kama mwaka 2022 na hivi karibuni tutaingia mwaka 2023 badala ya mwaka 2027, 2028 au 2028. ๐—ฆ๐—ถ ๐—ธ๐—ถ๐˜๐˜‚, ๐˜๐˜„๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฒ ๐˜๐˜‚.

๐— ๐˜„๐—ฒ๐—ป๐˜†๐—ฒ ๐˜‚๐—ฏ๐—ฎ๐˜ƒ๐˜‚ ๐˜„๐—ฎ ๐—ธ๐—ถ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ๐—น๐—ถ, ๐—ฎ๐˜๐˜‚๐˜€๐—ฎ๐—ถ๐—ฑ๐—ถ๐—ฒ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฒ๐—ป๐—ด๐—ฎ ๐—ธ๐—ฎ๐—น๐—ฒ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ ๐—บ๐—ฝ๐˜†๐—ฎ.Kama unaweza wewe kuitafsiri tarehe aliyozaliwa Yesu na kuipangia kalenda kamilifu jaribu! Lakini nadhani itakuwa kazi isiyo na tija yoyote. Zaidi ya hayo, tusahihishe kalenda leo kwa faida gani au kwa faida ya nani? Acha tuendelee tu!

๐—๐—ฒ, ๐—บ๐—ป๐—ฎ๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚? ๐— ๐˜€๐—ถ๐˜€๐˜๐—ฎ๐—ฎ๐—ท๐—ฎ๐—ฏ๐˜‚. Basi, tangu zamani kulikuwa na ugumu wa kupata mwaka aliozaliwa Yesu, sembuse siku na saa. Lakini, pamoja na ugumu huo wa kupata mwaka, mwezi, tarehe na saa kamili alipozaliwa Yesu, ni ukweli usiopingika kwamba, Yesu alizaliwa kama mtu. Ukweli huu hautegemei kujua kwetu mwaka, mwezi, siku na saa. Ni ukweli wa milele.

INAENDELEA...๐Ÿ”œ
Hapo kuna mkono wa Wakatoliki, kazi hii ilifanywa na kijana wao. Huyu ni mtaalamu wa hesabu kutika italy wa kipindi hiko bwana Dionysius Exiguus na ni around miaka ya 500 AD hvi kama sijasahau ndo alifanya hii kazi ya makadirio ili kuanzisha miaka ya AD.
Maana zamani walihesabu miaka kwa kutrace miaka kutoka katika tawala zilizopita.

Wakristo hawakupenda kuhesabu miaka kutoka kwa watawala waliowadhulumu haki zao kama Kaisari Deoclatian.

Hakuna anayejua kanuni aliyotumia kujaribu kutrace miaka ya Yesu wao.

Ni ukweli kuna Error ipo.
 
Hopefully aliyeandika bible hajakosea kitu
FB_IMG_1665850573929.jpg
 
Back
Top Bottom