johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,137
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini Mafundisho ya mchungaji Matsahi wa KKKT Kimara na Askofu Ngonyani wa WAPO kuhusiana na Majuma 70 aliyopewa Daniel kwenye Daniel 9:22-27 na Kipindi cha Dhiki kuu.
.
Wote Wawili wanasema kuna Majuma 7 ya kujenga Yerusalemu mpya.
Wote Wawili wanasema kuna Majuma 62 ya kujenga mahandaki na Miundombinu na Ikifika Juma la 62 Masihi atakatiliwa mbali (atauawa)
Wote Wawili wanasema Masihi wa Mungu Yesu Kristo aliuawa kwenye Juma la 62.
Wanapotofautiana
Mchungaji Matsahi amesema Yesu alizaliwa mwaka 1 na akapiga hesabu zake
Askofu Ngonyani anasema Yesu alizaliwa miaka 5 kabla ya kalenda ya kirumi iliyoanzia na mwaka 1 na Kuanza kujumlisha kutumika
Ikumbukwe kalenda ya kiyunani ilikuwa inahesabu miaka kwa kushuka (-) na hii ya kirumi ya sasa inajumlisha (+)
Swali:
Kama haijulikani tarehe sahihi aliyozaliwa Yesu, sherehe za Krismas zilianzaje?
Bwana Yesu Asifiwe
Jumaa Mubarak
😄
.
Wote Wawili wanasema kuna Majuma 7 ya kujenga Yerusalemu mpya.
Wote Wawili wanasema kuna Majuma 62 ya kujenga mahandaki na Miundombinu na Ikifika Juma la 62 Masihi atakatiliwa mbali (atauawa)
Wote Wawili wanasema Masihi wa Mungu Yesu Kristo aliuawa kwenye Juma la 62.
Wanapotofautiana
Mchungaji Matsahi amesema Yesu alizaliwa mwaka 1 na akapiga hesabu zake
Askofu Ngonyani anasema Yesu alizaliwa miaka 5 kabla ya kalenda ya kirumi iliyoanzia na mwaka 1 na Kuanza kujumlisha kutumika
Ikumbukwe kalenda ya kiyunani ilikuwa inahesabu miaka kwa kushuka (-) na hii ya kirumi ya sasa inajumlisha (+)
Swali:
Kama haijulikani tarehe sahihi aliyozaliwa Yesu, sherehe za Krismas zilianzaje?
Bwana Yesu Asifiwe
Jumaa Mubarak
😄