Facebook yatishia kujitoa endapo hatutakubali "ushoga"

Facebook yatishia kujitoa endapo hatutakubali "ushoga"

Tuanze kujitegemea watatuheshimu.

kwakweli huku tavyo jitegemea kwa ikiwa KARNE hii ndio kwanza sisi tunasaini mikataba wa KWENDA KUSAFISHA INJE MCHANGA WA MADINI alafu ww unazungumza kujitegea tanzania??tungoje kuchomekwa MIJITI kwenye Tigo 2 na maamuzi hatuna lasivyo tutafungiwa MKONGO WA TAIFA uone tulivyo kua wajinga wa Elim na upeo tecnolog ya mtu mwinine sisi tunasema wa TAIFA je tunajitambua???hata tukisomeshana vipi haisaidii nia ni kuboresha wizi na Ujinga 2.....
 
facebook ya nini bhana wakati tuna JAMII FORUMS?

wee nduguyangu hebu tuliza kichwa unazungumzi tunayo JF..unapata wapi mawasiliano ya JF kama sii kupitia mtandao ambayo wao ndio wamiliki??? naona ELIM YAKO HAIJAKUKOMBOA KI UPEO wa dunia hii na Tecnolog ikoje haujui nani mmiliki wa Anga hujui ivi sasa hata ukiambiwa Tanzania mlipie ushulu wa mawasiliano msipolipa mpaka J2 tunazima TV zote huna kwa kukimbilia kwahiyo USHOGA mtaukubali 2 tulikata vyama vingi hapa
 
Mbona habar inahusu Uganda kukataa.Kwani nasisi Tanzaniatumekubali?Mbona facebook bado ipo.Tumeukubali ushoga?
 
Kumbe unaweza ukashabikia kitu usijue kilianzishwa kwa madhumuni gani!!
Nina mashaka sana na hii mitandao maarufu ya kijamii pengine ilianzishwa kwa target flani flani.
 
kweli shetani amefanya kazi kubwa sana,hadi hapa tulipo Mungu tu ndio anatulinda.
Yaani baada ya makampuni kuanza kuwekeza business zao kwa kujitangaza via FB na kununua hisa hiyo hiyo FB ndio inatumika kuhalalisha upuuzi (USHOGA).
Yaani wenye kuhitaji wakilianzisha tu lazima mkubali maana mtaanza nyimwa misaada etc.

Hii inatupatia fundisho kuwa tusimtegemee mtu au nchi maana atatusaidia ili yeye anufaike,nchi kama CHINA haya mambo kutokea ni ngumu maana wako strict na kuingiliwa si rahisi kwa nchi zetu za Africa haya mambo kutokea si ajabu misaada itafungiwa sana
ila tusimamie ukweli kuwa Mungu hakukosea kuumba Mwanamme na Mwanamke

Kumbe tuliopo FB tunashabikia ushoga Bila kujijua?sasa ni kujiondoa tu!
 
Mimi naanza kwa kufunga akaunti yangu ya fb, sisubiri hadi shoga atoe tamko la kututishia
 
Ili kupambana na USHOGA WA HAWA Wanaotoa misaada kwa kigezo cha sisi tuuabudu huo USHOGA Sisi tuanzishe

FAITHBOOK NEMBO YAKE HIYO HAPO CHINI



View attachment Faithbook istead.bmp











:kev::bange::welcome::amen:




MWANZO WA BINADAMU NI HAPA AFRIKA NZURI ZAIDI NI HAPA HAPA TANZANIA TUNAJUA NAMNA YA KUMTII MWENYEZI MUNGU WETU, HAKIKA AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA.
 
wafunge tu Facebook mbona china wana facebook na gugo yao? Hata bongo tunayo facebook yetu ipo hapa kuna member ashawahi kuileta..
 
ama kweli ukiwa masikini unapelekeshwa kama kishada, waifunge tu kwanga itasaidia vijana kuwajibika sio sasa vijana wako busy kweli na FB wengine hawasomi bize wanatongozana fb, wengine wanaacha kufanya mambo ya maana busy kupost pictures zao juu ya nini wamefanya au nini wanamiliki.
waifunge tu.
 
kweli shetani amefanya kazi kubwa sana,hadi hapa tulipo Mungu tu ndio anatulinda.
Yaani baada ya makampuni kuanza kuwekeza business zao kwa kujitangaza via FB na kununua hisa hiyo hiyo FB ndio inatumika kuhalalisha upuuzi (USHOGA).
Yaani wenye kuhitaji wakilianzisha tu lazima mkubali maana mtaanza nyimwa misaada etc.

Hii inatupatia fundisho kuwa tusimtegemee mtu au nchi maana atatusaidia ili yeye anufaike,nchi kama CHINA haya mambo kutokea ni ngumu maana wako strict na kuingiliwa si rahisi kwa nchi zetu za Africa haya mambo kutokea si ajabu misaada itafungiwa sana
ila tusimamie ukweli kuwa Mungu hakukosea kuumba Mwanamme na Mwanamke

Yaani maneno uliyosema ni ya busara sana sana na Mungu atakubariki. Kama kweli si Mungu anayetulinda mpaka sasa tungekuwa tumeisha kwisha mbele ya uso wa dunia. MAOVU YANAYO HALALISHWA HAPA DUNIANI NI MENGI NA KWELI WENZETU NGOZI NYEUPE HAWAJUI WATENDALO NA KAMA NI HUYO SHETANI AMEWAFUNGA MACHO YA KIROHO NA AKILI ZAO HAWAONI NA WALA KUSIKIA LOLOTE KIROHO. WAPI MUNGU ALIPOHALALISHA USHOGA AU NDOA YA MWANAUME NA MWANAUME AU MWANAMKE NA MWANAMKE KWENYE BIBLIA?.

JAMANI TUNAISHI ZILE SIKU ZILIZO NENWA ZA MWSHO KWAMBA MWENYE HAKI ATAZIDI KUTENDA MEMA NA WAOVU WATAZIDI NA KUTENDA MAOVU YAO.
MSIMAMO WETU NI ULE ULE WATAKAPO KUJA TANZANIA HATUTAKI MASHOGA NA WATUONDOE KWENYE FACE BOOK
 
haya currently UK BBC News - Home wamepeleka legislation kuhusu mambo ya ndoa ili na makanisa yaruhusiwe kufungisha ndoa za jinsia moja.
Wazungu (wachach) wako against God na hii inamaana wao ni wafanyakazi wa shetani kwa kujua au bila kujua.
lets hold on to the right way God is with us He will never forsake His people
 
Sisi tulivyo mabingwa wa kuomba misaada, sitashangaa tukifyata katika hili. Ila cha msingi, maisha bila FB kwa Tanzania (hata Afrika) yanawezekana sana.
 
Serikali ya China wame block.Facebook na wanaishi.kama.kawaida..
 
Ndo maana niliikataa Facebook toka day one. I hate it kumbe Mungu alikuwa ananionyesha mbali. Jamani tusije tukaambiwa hapa JF kama tunapinga ushoga tunapigwa ban!! Mungu saidia
 
kweli shetani amefanya kazi kubwa sana,hadi hapa tulipo Mungu tu ndio anatulinda.
Yaani baada ya makampuni kuanza kuwekeza business zao kwa kujitangaza via FB na kununua hisa hiyo hiyo FB ndio inatumika kuhalalisha upuuzi (USHOGA).
Yaani wenye kuhitaji wakilianzisha tu lazima mkubali maana mtaanza nyimwa misaada etc.

Hii inatupatia fundisho kuwa tusimtegemee mtu au nchi maana atatusaidia ili yeye anufaike,nchi kama CHINA haya mambo kutokea ni ngumu maana wako strict na kuingiliwa si rahisi kwa nchi zetu za Africa haya mambo kutokea si ajabu misaada itafungiwa sana
ila tusimamie ukweli kuwa Mungu hakukosea kuumba Mwanamme na Mwanamke

aliwahi kunena mwalimu,UTEGEMEZI UTAUWEKA MATATANI UHURU WETU
 
Sisi tulivyo mabingwa wa kuomba misaada, sitashangaa tukifyata katika hili. Ila cha msingi, maisha bila FB kwa Tanzania (hata Afrika) yanawezekana sana.

kweli Mkosoaji facebook ni muhimu lakini sio lazima,tunaweza kuishi tena vizuri tu bila facebook.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom