Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

Nashangaa watu hamuelewi kua hiyo hela jamaa haipati yote.. Hela ambayo inalipwa in cash ni $4Billion peke yake, nyingine inaenda kwenye stocks... Msikae mkadhani jamaa anaweka hela yote hiyo mfukoni, na hiyo 4 bado wataigawanya hali mtu moja..
 
Mbali na hela kibao pia kapewa share za Facebook za kutosha ,,, ni win win
Hajapewa share bna, kapewa tu ajira kusimamia Whatsapp kama independent company inayomilikiwa na Facebook thats all.. Hakuna share za bure..
 
Hajapewa share bna, kapewa tu ajira kusimamia Whatsapp kama independent company inayomilikiwa na Facebook thats all.. Hakuna share za bure..

Deal mzima ni total of $ 19bn

Breakdown yake iko hivi (source BBC na CCN)
The deal to buy it includes $4bn in cash and approximately $12bn-worth of Facebook shares, plus an additional $3bn in stock to WhatsApp's founders and employees at a later date..... Umeelewa sasa ,

Kwa lugha nyingine kila user wa whatsapp kanunuliwa kwa approxmately $ 42, ... , lakini kumbuka whatsapp Inaongeza approximately 1 mil users each day ,

HOPE NIMEELEWEKA ..
 
WhatsApp is no more secure mkuu. Wala sio Ad free tena. Yaani kitasanuka matangazo na kuibiwa info sio kitoto.

Kwa jinsi nlivoelewa , jamaa hawataweka ads ,itabaki ads free . Hii wametangaza officially so itaendelea kuuzwa kama ilivokua , sema faida kubwa kwa fb ni kwamba wameepuka threat ya ku compete na watsapp maana watsap ilikuwa inatumika sana (rate of usage) kuliko fb.. nafikiri uoga wa kukosa users kwa kuhamia watsapp moja kwa moja umechangia .
 
WhatsApp is no more secure mkuu. Wala sio Ad free tena. Yaani kitasanuka matangazo na kuibiwa info sio kitoto.

kuhusu ad free siwashasema kwamba hawana mpango wa kuifanya iwe ya matangazo,kama social network nyingine?? By the way wakifanya hivyo wataboa watu na watu wanaweza wakatafuta alternative nyingine!
 
Sidhani kama Mark is dumb enough kuinvest $16B kwenye app hiyo, anataka kuweka nini, matangazo?!!! I smell LE behind it! fuq FBI!
Kuna ukweli sana kwenye hilo, unaweza check hii documentary: Watch online Terms and Conditions May Apply
nt7c.jpg
 
So tutegemee nini kwa hii deal kuwa finalised????

itaendelea kuwa bure kiaina au itakuwa bure kabisaaa. na itakuwa haina matangazo... fb walikuwa wanawataka tu wateja. obvious watafanya integration ya fb insta na whatsapp
 
itaendelea kuwa bure kiaina au itakuwa bure kabisaaa. na itakuwa haina matangazo... fb walikuwa wanawataka tu wateja. obvious watafanya integration ya fb insta na whatsapp

hilo la integration hata mimi nimelihisi lakini sijajua itakuwa kivipi nimejaribu kufikiria sijapata ila coz wao ndio wataalamu tusubiri tuone by the way kwa jinsi nnavyojua kila mwenye whatsap ana account ya fb ila sio kila mwenye fb ana account ya whatsapp
 
hilo la integration hata mimi nimelihisi lakini sijajua itakuwa kivipi nimejaribu kufikiria sijapata ila coz wao ndio wataalamu tusubiri tuone by the way kwa jinsi nnavyojua kila mwenye whatsap ana account ya fb ila sio kila mwenye fb ana account ya whatsapp

navyofikiri mimi ni kuwa wataweka some sort of joint account ya number yako na fb yako (kama hangouts on 4.4 Kit Kat) kwamba unaweza tumia kutxt fb friends na whatsapp. lazima fb iingilie whatsapp. Damn
 
Nashangaa watu hamuelewi kua hiyo hela jamaa haipati yote.. Hela ambayo inalipwa in cash ni $4Billion peke yake, nyingine inaenda kwenye stocks... Msikae mkadhani jamaa anaweka hela yote hiyo mfukoni, na hiyo 4 bado wataigawanya hali mtu moja..

sasa $4 billion wewe unaona ndogo
 
Ni kweli whatsapp imekufa?, Mimi kwangu haipo tena na pia baadhi ya friends wanalalamika mtandao huo kutopatikana masaa manne yamepita now, is it true whatsapp ndo bye bye?
 
Khe!kumbe ni tatizo la wengi i thought ni kwangu tu!
 
Juzi whatsapp imenunuliwa na Facebook at 16 billion dollars...it was becoming a threat...labda wanafanya some changes but sio imekufa
 
Back
Top Bottom