Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

Ni kweli whatsapp imekufa?, Mimi kwangu haipo tena na pia baadhi ya friends wanalalamika mtandao huo kutopatikana masaa manne yamepita now, is it true whatsapp ndo bye bye?


imerudii
 
Yah , dah ashukuliwe founder wa whatsapp, maana nilikosa amani ki ukweli, maana inatusaidia wafanya biashara maana kwetu ni showroom kwa wateja, na ingetu cost



mkuu una biashara gani tununue?
 
Ni kweli whatsapp imekufa?, Mimi kwangu haipo tena na pia baadhi ya friends wanalalamika mtandao huo kutopatikana masaa manne yamepita now, is it true whatsapp ndo bye bye?

Dah heading nyingine bana, huwa mnapata zanzi kabla ya kupost? Yani server iko busy tu in 2hrs unasema r.i.p whasap aisee kazi kweli kweli
 

Attachments

  • 1393112188171.jpg
    1393112188171.jpg
    30.9 KB · Views: 636
  • 1393112205782.jpg
    1393112205782.jpg
    108.9 KB · Views: 585
Dah heading nyingine bana, huwa mnapata zanzi kabla ya kupost? Yani server iko busy tu in 2hrs unasema r.i.p whasap aisee kazi kweli kweli

ndio nashangaa....halafu kuna wengine tayari wanalalama kuwa watahama kutoka whatapp....mi naona kama afueni coz fb na whatsapp wanaeza kuleta kitu cha maana zaid vile
 
Back
Top Bottom