Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

Facebook kununua WhatsApp kwa Sh 30.9 trilioni

WhatsApp wanacharge $1 kwa mwaka, ila sisi wabongo mara nyingi wanatusamehe na kutupa 1 year free kila mwaka. Ila sidhani kama facebook wamewanunua kwa ajili ya kukusanya direct profit kihivyo, sitashangaa ikiwa bure kabisa tena bila matangazo kama fb messenger.
zaidi wanataka info za watu wanaongelea nini ili kuweza kuwatarget vizuri na ads kwenye facebook na aps/websites zengine. Facebook wamelaunch mobile ads kama Admob ya Google na Im sure watalaunch website ads kama Adsense yao. Fikiria unaongelea kununua gari kwenye chat yako WhatsApp kisha unaenda site yenye Facebook Ads na kuona Ads za wauza magari eneo ulipo.

yeah mkuu. hawa jamaa wanatuchungulia vibaya sana. kwa kila tunachofanya
 
navyofikiri mimi ni kuwa wataweka some sort of joint account ya number yako na fb yako (kama hangouts on 4.4 Kit Kat) kwamba unaweza tumia kutxt fb friends na whatsapp. lazima fb iingilie whatsapp. Damn

sasa hapo itakuwa ni kulazimishana kuwa na account mbili,au kutumia account mbili kwa wakati mmoja(kuwa online zote) ambacho something not good
 
ni messenger mpya hii ni kiboko unatuma mpaka documents

Telegram, nilimsikia tu mange kimambi akiongelea kuwa ni matapeli, sasa sina uhakika ni telegram au tele nn ,ila ni hii hii sasa sijui uo utapeli wanaufanyaje
 
Telegram, nilimsikia tu mange kimambi akiongelea kuwa ni matapeli, sasa sina uhakika ni telegram au tele nn ,ila ni hii hii sasa sijui uo utapeli wanaufanyaje


ni messenger kama whatsapp na viber na unaidownload play store mi natumia na sijaona utapeli wowote
 
Telegram, nilimsikia tu mange kimambi akiongelea kuwa ni matapeli, sasa sina uhakika ni telegram au tele nn ,ila ni hii hii sasa sijui uo utapeli wanaufanyaje

unaongelea telexfree
 
Bora jamaa aje kuinunua Tanesco
 

Attachments

  • 1393236862800.jpg
    1393236862800.jpg
    10.6 KB · Views: 58
Back
Top Bottom