Facebook imepata shambulio la kimtandao?

Facebook imepata shambulio la kimtandao?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
359,928
Reaction score
828,569
Kwa miezi hii mitatu imetumika kwa ukubwa wake kuunganisha sauti za wanaharakati na wapenda mabadiliko Tanganyika
Ile FB iliyokuwa inadharauriwa na wasiojitambua ikawa mojawapo ya sehemu muhimu na ya uhakika ya kupata taarifa mbalimbali na updates pia
Leo tangu mchana haifunguki tena! Kumbuka GenZ waliitumia vema sana kwenye maandamano
Screenshot_2025-11-09-16-22-16-44_f598e1360c96b5a5aa16536c303cff92.jpg
 
Back
Top Bottom