Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,240
- 22,631
Habari wakuu.
Kipindi hiki cha janga hili la COVID-19. Kimesababisha watu wajifungie ndani (lock down). Hivyo hata maeneo ya starehe yamepungua watu.
MaDJ wakubwa wakaamua kuanzisha group Facebook. Ambapo huko wamewekeana ratiba (schedule) week nzima. Kuanzia asubuhi mpka usiku mnene.
Mfano Leo saa 4 usiku atakuwa DJ JD (John Dilinga) live akidondosha Old Skool Songs. Na DJ aliyepo shift siku hiyo live unaweza kumpa tips hata ya vocha tuu. Kama ukikubali mixing yake ya siku hiyo.
Hii ni burudani tosha kipindi hichi.
Kipindi hiki cha janga hili la COVID-19. Kimesababisha watu wajifungie ndani (lock down). Hivyo hata maeneo ya starehe yamepungua watu.
MaDJ wakubwa wakaamua kuanzisha group Facebook. Ambapo huko wamewekeana ratiba (schedule) week nzima. Kuanzia asubuhi mpka usiku mnene.
Mfano Leo saa 4 usiku atakuwa DJ JD (John Dilinga) live akidondosha Old Skool Songs. Na DJ aliyepo shift siku hiyo live unaweza kumpa tips hata ya vocha tuu. Kama ukikubali mixing yake ya siku hiyo.
Hii ni burudani tosha kipindi hichi.