Hawa ndio MaDj wakali zaidi Tanzania

Marco Polo

JF-Expert Member
Jan 16, 2014
8,742
11,972
1,Khalid Uledi - Dj KU Times fm, Huyu jamaa anapokuwa kwenye mashine hutaboreka kumsikiliza huwa ana Playlist Bomba kinoma.

2,John Dilinga Matlou (Dj JD-radio one), Huyu naweza Sema ndo legendary wa MaDj wote bongo,, Jamaa huwa ananikosha sana na flash back zake full mzuka aisee mcheki kila jmos.

3,DJ Dusco Dalla - Bomba fm Zanzibar - Jamaa huwa anakun'guta madude ya mbele hatari tupu Sema huwa ananiangusha pale anapogeuka kuwa mtangazaji badala ya Dj mwishowe huishia kuharibu tu sababu hana swaga za utangazaji, namkubali sana huyu mtu.

3,Dj Side - Hits fm Zanzibar, Jamaa yuko vizuri kwenye mixing ingawa sio mfuatiliaji sana wa bongo flavor ila sometimes Playlist yake huwa inategemea sana jinsi mpenz /mke/rafiki zake walivyom treat kabla hajaanza kipindi . Akiacha kujifanya much know sana itabaki kuwa ni moja kati ya Dj bora hapa Tz.

4,Dj Makey, mara ya mwisho kumsikiliza ilikuwa East Africa radio Sina uhakika kama bado yupo hapo, Ana mixing za hatar hasa hasa umkute anagonga bolingo hata kama shemeji yenu anahitaji gegedo huwa namwambia asubir kipindi kiishe.

5,DJ Majizo for Shizo - Alianzia Magic fm baadae akaibukia Efm, kwa wale mnasikiliza Efm mtakuwa mnasuhuzika vilivyo na mitwango yake

6,Dj Steve B-Clouds fm, huyu ni Legend mwingine kwenye kazi hii naweza Sema ndo Dj bora kuliko wote pale mawingu fm.

6,Mafuvu Baby - Alikuwaga kwa mzee Mengi na baadae akasepa sijui yuko wapi kwa sasa ila all in all I do appreciate his work.

7,Dj Venture - clouds fm, ukiondoa Steve B hapo mawingu basi huyu jamaa ni habar nyingine, Nakumbuka wakati clouds inaungua pale jengo la kitega uchumi Venture ndo alikuwa studio anapiga mangoma sasa kuna jingle moja alikuwaga anaipenda na ilizoeleka sana kwa wasikilizaji inasema ^MOTO UNAWAKA ^ siku ya tukio kama saa tatu usiku hivi ikasikika saut MOTO UNAWAKA, watu wakahisi jingle tu kumbe jamaa ndo anatoa taarifa hivyo, ghafla mitambo ya radio Ikazima kesho yake ndo tukajua kumbe Venture alimaanisha studio inaungua.
 
Dj Jeff Jerry, Dj Maliz, Dj Simba, Dj Devi. Hakuna madj kama hao tena popote

kwel mkuu nafikirh hii n kasumba t imejengeka kuwa dj's wazur wapo Dar t ktu ambacho sio kwel,m naamin ktk station za radio zote bongo hakuna kituo chenye team nzuri yamadj wakal zaid ya kiss fm mwanza dah jmaa wakal sn hao kna dj maliz,ray,simba,jeffjerry na aleco
 
Mafuvu baby hiki ni kizazi cha sasa ambacho hakuna dj atakaemfunika....mengi turudishie mafuvu wetu na ivi planetbongo ipo jumatatu mpaka ijumaa xxl wangeisoma namba.....

Kwel pengo la mafuvu limeonekana hyu dj aliyemreplace hana skills kali na kabase mno kwny afro pop,ea radio wafanye mpango wamrudishe fuvu au waongeze dj's wengne wakal
 
Ukiacha kuweka play list nzur ya muzik,hv steve b ana sifa gan za zaid il na yy tumfanye km reference ya dj wakal bongo? nionavyo mm steve b anafunikwa mno na dj d ommy kwa sasa
 
Ukiacha kuweka play list nzur ya muzik,hv steve b ana sifa gan za zaid il na yy tumfanye km reference ya dj wakal bongo? nionavyo mm steve b anafunikwa mno na dj d ommy kwa sasa

Steve b uzoefu tu leo hata ukisema umpambanishe na mafuvu hafui dafu
 
10 Reactions
Reply
Back
Top Bottom